Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Nape Nauye amekuja na suluhu ya kusambaza internet kwa kasi kuliko ilivyo sasa. Anasema kwa kuwa kila mwananchi anaumeme kwake basi miundombinu ya TANESCO itumike kufikisha mawasiliano kwenye makazi.
Nakubaliana naye kwamba tunakwenda kuondoa gharama za kununua nguzo ambazo ofcoz itapunguza ukataji miti lakini pia tunakwenda kuondokana na dublication ya resources.
Mawazo mazuri kama haya yanapaswa kuwa yalishafanyiwa kazi na inawezekana kabisa. Wasiwasi wangu mimi nikwamba wapenda tender waliopo TTCL na TANESCO wanaweza kuja na urgument kinzani kwako.
Ili kutekelezeka hoja hii nzuri kwenye wilaya napendekeza apeleke baraza la mawaziri wapitishe ili kila mmoja wa watoa huduma hizi awajibike kutekeleza maazimio ya baraza la mawaziri.
Hoja hii ikipitishwa na baraza la mawaziri itawafanya makatibu wakuu wote kuisimamia sambamba na wakurugenzi wa mashirika husika.
Natamani Nape afanikiwe wilaya zetu ziwe na fiber tuache utegemezi wa mawasiliano.
Nakubaliana naye kwamba tunakwenda kuondoa gharama za kununua nguzo ambazo ofcoz itapunguza ukataji miti lakini pia tunakwenda kuondokana na dublication ya resources.
Mawazo mazuri kama haya yanapaswa kuwa yalishafanyiwa kazi na inawezekana kabisa. Wasiwasi wangu mimi nikwamba wapenda tender waliopo TTCL na TANESCO wanaweza kuja na urgument kinzani kwako.
Ili kutekelezeka hoja hii nzuri kwenye wilaya napendekeza apeleke baraza la mawaziri wapitishe ili kila mmoja wa watoa huduma hizi awajibike kutekeleza maazimio ya baraza la mawaziri.
Hoja hii ikipitishwa na baraza la mawaziri itawafanya makatibu wakuu wote kuisimamia sambamba na wakurugenzi wa mashirika husika.
Natamani Nape afanikiwe wilaya zetu ziwe na fiber tuache utegemezi wa mawasiliano.