Koloboy
Member
- Aug 13, 2017
- 61
- 154
Leo unamponda pombe magufuli
Siku Zote Binadamu Hamuwezi Fanana Fikra Na Mitazamo , Ukisoma Vizuri Post Ya Mkuu Hapo Kasema Kuwa JPM Yuko Vizuri Kwenye Utendaji Ila Akawa Na Mashaka Kuhusu VISION Ya Magufuri...
Sasa Kama Anamponda Sasa Hivi May Be Anamponda Si Tu Kwa Sababu Sio Mtendaji Bali Anamponda Kwa Sababu Hana VISION..
Swali Langu:- Je Rais John Pombe Joseph Magufuli Ni Rais Nzuri Kwa Sababu Ana Vision Nzuri Au Kwa Sababu Ni Mtendaji Nzuri????