Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,660
Kingunge ni level nyingine kabisaMkuu,
Ukisema hivo utamfutia kiki Mzee Kingunge, mzee wa pumzi.
Maana yeye ni mzee kuliko Mwapachu, na wote wamehama ccm kipindi kimoja ili kumpa support boss lowassa.
Tukifuat 'lojik' yako ya umri, Kingunge atakuwa na stress kubwa sana na 'memory' mbaya kuliko Mwapachu.