Kwa taarifa yako cdm hata lisingekuja hilo kundi la wahuni bado ingepata zaidi. Hiki unachokisema wewe labda kwa watu wasiojua siasa wala kuijua cdm. Huyo EL alikatwa na ccm kwa hofu ya kuogopa nguvu ya cdm, idadi ya watu kujiandikisha kwa hasira uchaguzi huu ilijitokeza kwa sababu ya kutaka kuing'oa ccm, na walio wengi walijua EL ndio atachaguliwa na ccm. Sisi cdm ndio tukaona tumepata hilo kapi toka ccm kumbe tumepatikana. Nani kakudaganya cdm imependwa baada ya kuja EL? Mimi binafsi nimempa EL kura yangu sio kwa kumkubali bali ni ile tofauti yangu ya kudumu dhidi ya ccm lakini nilikuwa najua hafai. Na kwakuwa najua elimu ya uraia wangalau niliona ni bora nimpe EL ili kupunguza wingi wa wabunge wa ccm bungeni. Wewe baki kudanganya watu hapa na kutoa matusi ya kishamba ili uonekane mjanja kumbe ni boya tu. Na ukitaka matusi hebu niPM nikuchomekee disk mbovu ndio utajuta kujichanganya na mimi K...ma mama..ko. Watu tumepigwa mpaka mabomu huyo EL akiona sawa tu tulichokuwa tunafanyiwa wapinzani, leo unataka kutuambia usengerema gani we kenge. Chama ni watu sio mtu kama unavyotaka tumuamini huyo EL.