Shangaa! Huyu jamaa lazima awe anafanyiwa vibaya na wenzake. Siyo bure kabisa yani!Haha njaa mbaya sana!! Kwahiyo kadi zake za TANU & CCM atarudishiwa? Kwahiyo now anaamini Magufuli ni Leader na si manager tena?
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.
Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.
=======
UPDATES:
View attachment 330199
Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM
View attachment 330200
View attachment 330201
unamaanisha IPO Sikh lowasa atarudi ccm?Mwapachu yuko exactly kama walivyo wana CCM walio wengi..
ni kuwaza kupiga dili kutwa
si ajabu na leo kuna fungu kapewa la kurudi CCM
Arudi asirudi haongezi value yoyote CCM.Walitutelekezea CCM vitani yeye na akina kingunge na akina Sumaye tumepigana wenyewe tumeshinda.Sasa ni HAPA KAZI TU.Atajijua yeye na wenzie waliotusaliti na kusaliti CCM kwenye vita ya uchaguzi.
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.
Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.
=======
UPDATES:
View attachment 330199
Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM
View attachment 330200
View attachment 330201
Subiri Na huyo rais Wa moyo wako yuko mbioni kurudi.maCCM ni vigeugeu wa kutupwa. hili jitu la kimagamba ni linafiki kuliko maelezo.
Wewe [emoji86] Ungefunika tu hilo kalio lako na ucongee lolote kuhusu cdm. Hujui siasa inaendeshwaje maana kama cdm icingefanya iliyofanya sahivi isingekuwa hapo ilipo. Fanya tathmini kama ubongo wako uko sawa uchguzi uliopita kilikuwa na wabunge wangapi halmashauri ngapi na sasa inatarajia kukamata jiji la dar baada miji mikubwa kusombwa pia na cdm. Haya ni mafanikio makubwa ndani ya chama cdm. So! usiwe kama ngucheerro [emoji86]Katika kitu cdm yangu ilechemsha ni kuwachukua hawa wanaccm wahuni wakiongozwa na Lowassa. Hakuna kete mbovu kama ile, maana sasa hivi hata kile tulichokuwa tunakisimamia kila tukiongea tunapewa mifano halisi ya kukumbatia hii list chafu toka ccm. Halafu hata kwa macho ya kawaida tu hii list ilifuata vyeo, yaani wewe upambane miaka yote kupinga ufisadi tena umchukue ama uwachukue watu walewale uliokuwa unawatuhumu huku ukitoa utetezi dhaifu. Sasa nadhani viongozi wa cdm mnaona nini hilo kundi la wanaccm linafuata. Halafu huyo Lowassa kuendelea kumuacha meza kuu ni kujidhalilisha tu. Hathubutu hata kuvaa nguo ya chama, anangoja tu ateuliwe kugombea urais 2020 wakati hana lolote.
CC: Tumaini Makene.
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.
Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.
=======
UPDATES:
View attachment 330199
Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM
View attachment 330200
View attachment 330201
Subirini ni wakati tu sijui nawe utarudi!!Lowassa ni fisadi wa nini?Hebu acheni kudhalilisha watu kwa sababu ya mihemuko yenu
Ya kijinga.
Fisadi ni wewe Na Nyumba yako, tumbili weweSasa kubwa kuliko linakuja nalo ni la fisadi Lowasa, subiri uone sasa hivi ranchi yetu Handeni iliyoporwa na fisadi Lowasa inarudishwa mikononi mwa Wananchi na hapo ndiyo mtajua kwamba Wanasiasa wa kibongo wote wezi tu!