Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Mbaya zaidi mtu mwenyewe alishafika level ya ubalozi wa nchi nje ya nchi....Mungu atunusuru viongozi hawa vinasaba vya kina Mangungo bado vipo nao siyo ajabu tupo jinsi tulivyo; huko East Africa Community atakuwa amepitisha mangapi kwakushawishiwa kama kwa ushawishi mdogo wa mtu mmoja aliweza sahau nafasi yake katika taifa hili?
HILO LINAONEKANA WAZI MNO! UKIFUATILIA UTAONA JINSI ALIVYOGEUKA MPIGA DEBE WA KENYA! HII NI HATARI SANA!
 
Hivi nani kamruhusu Balozi Mwapachu kurudi CCM? nadhani mmekosea sana kumkubali huyu mtu, huyu ndio organizer mkubwa wa wale vijana waliokuwa wanaimba nyimbo kule Dodoma baada ya mtu fulani kuwekwa X, huyu ndio organizer mkubwa wa vijana vyuo vikuu kumsupport Lowassa, sasa nataka niwaambie huyu jamaa amerudi CCM kwa kazi maalumu wala sio kama mnavyodhani.

Huyu ni mtoa taarifa kama watoa taarifa wengine waliopo ndani hivyo uongozi uwe makini na huyu mzee wa mahaba ya Lowassa au
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lowassa.
Tumbo limemrudisha CCM.
 
hahaha et 'waziri wa mambo ya nje wa lowasa' sasa hapo lowasa anasimama kama nchi au rais?
 
Tunaposema ndani ya ccm hakuna viongozi Bali ni panya

Haueleweki mzee, hakuna anayezaliwa kuwa na vinasaba vinavyomfanya awe kiongozi wa ccm, hata hao waliopo vyama vingine nao walikuwa ccm, fanya mazoezi ya kufikiri kabla hujaja public. Waanzilishi wa chadema wote walikuwa ccm sasa wewe unasemaje, kwa hiyo nao ni panya?
 
Arudi asirudi haongezi value yoyote CCM.Walitutelekezea CCM vitani yeye na akina kingunge na akina Sumaye tumepigana wenyewe tumeshinda.Sasa ni HAPA KAZI TU.Atajijua yeye na wenzie waliotusaliti na kusaliti CCM kwenye vita ya uchaguzi.
Mkuu acha Jazba,CCM ni mlezi,na anapokea waliopotea na kuasi chama kisha kurejea nyumbani na kuomba Radhi.
Matarajio yake huko hayakuwa na hakusoma alama za nyakati.Wapo wengi watarejea,CCM habari nyingine mkuu.
 
sasa kwani mtashangaa tukimpa uongozi.kama nyie mlimpa sumaye na lowassa waliojiunga hata mwezi hawakumaliza mkawapa kibendera cha kukimbiza upepo wa kwenda ikulu sembuse sisi tukimpa mwapachu uongozi??
Hata mwezi badooo OOh......kelele kila siku ndani ya nyumba yetu Mammaah.......
 
Na kaandika huo utumbo uliooza hapo juu?

I had such respect for Mwapachu. I remember as a young buck back in 1999 nilikuwa nalitetea Time magazine at New Africa. He told me "You get the most from The Economist, you don't get the most from Time or Newsweek". Kutoka hapo nikawa naliangalia sana The Economist nikaona tofauti aliyoisema.

Leo hii anaandika kitu kama mtu ambaye hajapata kusoma chochote cha maana.
The principal lesson we learn from Ambassador Juma Mwapachu is that, never trust politicians. As a matter of fact, we must be very suspicious of what they say, regardless of how sweet the words may be. This bitter truth is in line with the American writer Roger Cohen, of the New York Review of Books Articles, who warns us that, "...if you shake hands with them, remember to count your fingers afterwards"!
 
The principal lesson we learn from Ambassador Juma Mwapachu is that, never trust politicians. As a matter of fact, we must be very suspicious of what they say, regardless of how sweet the words may be. This bitter truth is in line with the American writer Roger Cohen, of the New York Review of Books Articles, who warns us that, "...if you shake hands with them, remember to count your fingers afterwards"!
And wash it too.

Apparently there was a fake Mwapachu communique, just as I had suspected.

Nevertheless, the flip flopping is still shady.
 
Kwa sasa ataishia tu ubalozi wa nyumba kumi.Hana lake tena.
Kaogopa kutumbuliwa; Jana umoja wa wana ccm wa shirikisho la wanafunzi wa Elimu ya juu taifa, walitoa tamko kuhusu huyu jamaa kuwa kakosea njia na atatumbulialiwa.
 

Attachments

  • 1458365687660.jpg
    1458365687660.jpg
    43 KB · Views: 54
wanazuoni wanasema hivi '''ukiwa mzee akili zinarudi kuwa za kitoto'' hiii sijui ni kweli au....?
 
Back
Top Bottom