Bakhresa group punguzeni udini

Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.

Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?

Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.

Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.

Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?

Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.

Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Si bora huyu anajaza waislam wa makabila mbalimbali , Kuliko yule anayejaza kabila moja sekta zote .
 
Ni kweli si wakati wote Samaki Mmoja akioza wote wameoza Ila kwa Asilimia kubwa ubaguzi wa dini na makabila Kwenye Sekta binafsi ni changamoto Kubwa sana.
Sikatai ubaguzi haupo.

Kuna mahali nilikosa kazi pamoja na kupita kwenye usaili sababu sikuwa msabato.
 
Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
Mm hapo kwa MO umetudanganya. Reghebisha coment yako.
 
Vip kuhusu
Ivonna kamutu
Wasiwasi mwabulambo
Charles Hillary
Baruan Muhuza
Baraka Mpenja
Mtoa post ndo mdini kwendraaaaa
 
badilisha din naww uwe muislam upate neema iyo cz matajir wakubwa wote tz ni waislam na sifa moja kuu ya uislam.. muislam nduguye muislam mwenzio so muache awasaidie waislam wenzake.. km umemind tafuta zako mali uwajil wa din yko cz ni hiyar yko
Uwajil Uajiri

Nawewe hujui kusoma na kuandika kama Muddy?
 
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.

Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?

Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.

Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.

Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?

Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.

Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Umeangalia upande mmoja tu
Mbona kuna wanaotubagua ki makala na ukanda kwa kuwapa vipawa mbelea ziwa nyasa lakini pako kimya
 
Sunna gani inasema hivyo unajua maana ya sunna?
Sunna ni jambo alilolofany mtume wetu ss tukilifany ni sunna mfano kufuga ndevu,
Sasa ww hiyo sunna yako ipo katika kitabu gani
Mbona unasahau mapadre ndo wanafungisha ndoa za jinsia moja lini ulisikia sheikh? Unachojua ni kuropoka but kosa kubwa kutukan dini za watu
Sunnah ni jambo ambalo muumin akifanya anapata thawab na akiacha kufanya haesabiwi dhambi.

Hiyo si ndio sunnah...au wasemaje sheikh?
 
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.

Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?

Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.

Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.

Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?

Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.

Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Yaan hawa jamaa cyo kabisa tena xaiv nawachukia xana yaan hata kwenda kufanya tu field pale hupat nafasi daaahhh
 
Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.

Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?

Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.

Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.

Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?

Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.

Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Safi sana anachokifanya Bakhressa. Hivi Charles Hillary alisilimu eeh?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom