Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
Nendeni ipp
Si bora huyu anajaza waislam wa makabila mbalimbali , Kuliko yule anayejaza kabila moja sekta zote .Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Hao hawana tofauti na wasukuma wakoIla ramadhani wanafunga na idd wanauchapa mpunga
ubagu utawatafunaKama iki kiwanda cha tazara kina ad msikiti ndani pia bado wafanyakazi wanabaguana wenyewe kwa wenyewe ndani mslam wa kitanzania ana treat wa tofauti na wenye asili ya ki asia
Sikatai ubaguzi haupo.Ni kweli si wakati wote Samaki Mmoja akioza wote wameoza Ila kwa Asilimia kubwa ubaguzi wa dini na makabila Kwenye Sekta binafsi ni changamoto Kubwa sana.
Mm hapo kwa MO umetudanganya. Reghebisha coment yako.Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
Wengi sana, wanaachwa mpaka leoazam kulikuwa na wakristo wenye vigezo wakaachwa?
Uwajilbadilisha din naww uwe muislam upate neema iyo cz matajir wakubwa wote tz ni waislam na sifa moja kuu ya uislam.. muislam nduguye muislam mwenzio so muache awasaidie waislam wenzake.. km umemind tafuta zako mali uwajil wa din yko cz ni hiyar yko
Uajiri
Umeangalia upande mmoja tuBakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Sunnah ni jambo ambalo muumin akifanya anapata thawab na akiacha kufanya haesabiwi dhambi.Sunna gani inasema hivyo unajua maana ya sunna?
Sunna ni jambo alilolofany mtume wetu ss tukilifany ni sunna mfano kufuga ndevu,
Sasa ww hiyo sunna yako ipo katika kitabu gani
Mbona unasahau mapadre ndo wanafungisha ndoa za jinsia moja lini ulisikia sheikh? Unachojua ni kuropoka but kosa kubwa kutukan dini za watu
Yaan hawa jamaa cyo kabisa tena xaiv nawachukia xana yaan hata kwenda kufanya tu field pale hupat nafasi daaahhhBakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.

Origin yake ni nnSunnah ni jambo ambalo muumin akifanya anapata thawab na akiacha kufanya haesabiwi dhambi.
Hiyo si ndio sunnah...au wasemaje sheikh?
Safi sana anachokifanya Bakhressa. Hivi Charles Hillary alisilimu eeh?Bakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana.
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo.
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa, hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa ofisi eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee.
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi.
Kamuambien nabii tito wenu mfungue kampuni yenuYaan hawa jamaa cyo kabisa tena xaiv nawachukia xana yaan hata kwenda kufanya tu field pale hupat nafasi daaahhh![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()