Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,596
- 5,584
Sasa kwa mwenyekiti wa Madrasa mnalialia nini? Au mna mpango wa Azimio la Arusha ili mumtaifishe mali zake? Makatonta wasomi ndio wamefisidi hii nchi kufikia hapa tulipo!!wakati wanasoma wao walikua madrasaa, ila sasahivi mwamko mkubwa, top 10 za mwisho kitaifa mikoa ndio ile ile ya madrasa
Je tukiacha walivyoua mashirika ya umma, ushirika na mashamba tumesahau WALIVYOSHIRIKI UJAMBAZI WA ESCROW? Je Askofu hakupewa mgao haramu? Hao ndio wawe waajiriwa? =-O🙂