Babu zetu waliwakataza wanawake kula mayai na nyama wakiwa na mimba kuzuia mtoto kuwa mkubwa, wengi wamekiuka hujifungua kwa upasuaji

Nu nadra Sana vyakula vya Protein kumnenepesha mtu.
Vyakula vya wanga ndio hunenepesha zaidi kuliko.
Hayo mavyakula ya protein mengine husababisha gesi kurundikana sana tumboni na kuleta matatizo ya mmeng'enyo wa chakula tumboni.

Ni heri wanga, protein na vitamin vyote vikatumika kwa kiasi kwa afya njema kabisa ya Binadamu.
 
Hata ulawiti ni chanzo cha wanawake wengi kushindwa kusukuma
Hoja nzito sana hii, na hasa hasa ni hao hao Ke wanaotandika mbili, tatu kwenye viti virefu, akienda msaalani tu ndipo Me hutumia fursa hiyo hiyo kuchanganya na madawa ya kulevya kwenye bilauri au chupa yake, kisha kujibebea mzigo kiulaaaaini na kwenda kuu-sodomize.

Ke akistuka asubuhi anajikuta tayari kashavunjwa bikra ya nyuma na zile gametiume huozea kwenye puru baada ya kuchanganyika na taka mwili kisha kutengeneza muwasho wa kuf**wa na kuwa janga kwa mama zetu hadi kuwa na addiction
 
Ni nini sababu kubwa ya wamama wengi kujifungua kwa operation?
Sababu kubwa ni nyonga kushindwa kufunguka, hata kama mtoto anauzito mdogo kama nyonga hazifunguki mtoto hawezi kushuka na kutoka, hao wa zamani walikuwa na vyakula wanavyokula vya kuweka nyonga sawa tangu watoto iwapo mtoto ni wa kike na kingine kutembea umbali mrefu iliwasaidia pia, kingine uzazi wa operation hausaidii kubana kwa bibi tena ndo unalegeza haswa maana kizazi kinakuwa na makovu tofauti na kuzaa kawaida ni rahisi kuweka mambo sawa labda wanaozaa watoto wengi.
 
Haya mambo ya upasuaji ni mambo ya mjini mjini tu....kijijini husikii haya mambo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
nilifundishwa kitu kimoja siku za nyuma na nikafanya utafiti nikakubaliana nao.
utaratibu wa maisha ya kisasa ndio imekuwa changamoto kubwa sana katiaka swala lote la kujifungua.
wanawake wengi na hasa wa mjini wa kipato cha kati na cha juu hawajui tena taratibu za ukaaji ili nyonga zao zifunguke vizuri na kujitayarisha kwa swala zima la uzazi. kwa lugha nyingine tunawanawake wa kitikiti na si wa mikeka tena.
miji ya pwani na maeneo ya waisilamu wengi bado hawana upasuaji mkubwa kwa kuwa ibada zao zilizoambatana na tamaduni za kiarabu zinawapa nafasi ya kupanua nyonga lakini si hawa wa kwetu.
madeko na kuogopa uzazi achilia mbali kutokuwa na uhakika wa kumpata mtoto kwa muda uliopangwa kutokana na utoaji mimba mwingi na kutengeneza mazingira ya kujifungua mapema kabla ya wakati tarajiwa.
 
Zamani wanawake walikuwa na simu ya line moja changamoto hizi zimeanza baada shetani kuwapa wanawake kumiliki laini mbili za simu.Pipe zipo wazi compressor imetoboka haifui upepo wa kutosha nyuma
 
Kweli kabisa unachokisema na kitu kingine wahenga walichozingatia ni mazoezi unakuta mfano mama mjamzito ni mwalimu na kipindi hicho usafiri kama bodaboda, daladala na magari binafsi yalikuwa hamna au machache matokeo yake kipindi cha ujauzito mama hutembea kwa miguu kila siku kwenda kazini hadi anapokaribia kujifungua, hii iliwasaidia sana na kuwapa uwezo wa kujifungua bila operation sasa sikuhizi mjamzito anaishi kama funza akiwa mjamzito anatembelea usafiri mwanzo mwisho akihisi ndio usasa kumbe anajimaliza anakula hovyo na kunywa hovyo akaifikia siku za kujifungua mtoto hapiti.
 
Wengine ni walevi wakiwa kawaida lkn wakiwa na mimba hawaitaki pombe kabisa

Sijui kwanini

Sky Eclat

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mi nikiwa hivi kawwida pombe nakunywa kwa kushawishiwa sana vichupa 2-3 ila ndo naharisha natapika nakuwa kikufakufa ila nisiwe kitumbo jamani pombe km zote hata 6 nagonga, za kienyeji nazo nagonga, na sipati hayo maluweluwe ndo Kwanza napenda harufu yake, ladha na silewi
 
Mi nikiwa hivi kawwida pombe nakunywa kwa kushawishiwa sana vichupa 2-3 ila ndo naharisha natapika nakuwa kikufakufa ila nisiwe kitumbo jamani pombe km zote hata 6 nagonga, za kienyeji nazo nagonga, na sipati hayo maluweluwe ndo Kwanza napenda harufu yake, ladha na silewi
Hahahaha we kiboko...mimba zina mambo jamani

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom