Babe unaweza kuniletea popcorn

Babe unaweza kuniletea popcorn

Ha aha ahaaaa uzuri wa type hii huwa hawana umimi yaani akifumania nyavu naye kukupiga mi perfume sijui mashuka ya home sio issue na akipata training hata Arusha tu hakawaii kukuambia"much as wananilipia chumba just drive will host you huku" mzee tartiibu unaenda hapo Nashera unapumzisha mtima"!!!!!!

Yaani mnajiongeza flani hivi na wengi sio kununa type!!!!!
Unawezaa safiri ukamuachia gari akakurudishia limeoshwa na full tank!!!!!

Huku side B sasa????!!!!!!!Akiwa nacho hujui akiwa hana anakununia yani kama konda hesabu haijatimia!!!!!

Wa aina hii wako poa sana. Kuna mmoja bhana niliwahi kumfuma, siku aliyonitembelea kaja na begi zima la mashuka, vitambaa suruali na t shirt za kutosha. Anavyoondoka nilijikuta natoa tu hela bila kinyongo.
 
Wa aina hii wako poa sana. Kuna mmoja bhana niliwahi kumfuma, siku aliyonitembelea kaja na begi zima la mashuka, vitambaa suruali na t shirt za kutosha. Anavyoondoka nilijikuta natoa tu hela bila kinyongo.


Yaaani haihitaji shule wala twisheni kipindi inaeleweka Nyalotsi
 
Last edited by a moderator:
Wa aina hii wako poa sana. Kuna mmoja bhana niliwahi kumfuma, siku aliyonitembelea kaja na begi zima la mashuka, vitambaa suruali na t shirt za kutosha. Anavyoondoka nilijikuta natoa tu hela bila kinyongo.

Mi nitakuletea soksi na handkerchiefs
 
Back
Top Bottom