hahaha honey hujui anataka mpesa ya chapchap
Umeona eeh..mizinga ya millions sawa lakini popcorn.. drinks..foods...oooh
hhahaaaa sasa jaman mtu anakwambia eti hajala sasa sijui anafikiri we ni mobile restaurant!!!!!!!
Umeona eeh..na ikitumwa wala chakula hakinunuliwi
Got a tag???!!
Sasa kama mwanaume atashindwa vitu vidogo hivyo, ni kipi anachoweza tena?
Bora kulalamika bidada anataka kubadilishiwa gari kila mara au mizinga ileeeeeee mikubwaaaaa.
nimekusoma mkuu,hajaku PM?yuko humuhumu!Nothing harmful just kukuepushia kikombe tu!!!!
Boss (manake at this age nikikuita babe utajua unaibiwa live), zile mileage zako zimefika ngapi wangu manake nna hamu nazo hadi naskia kihindihindi. Hebu nifanyie mpango wa ticket mbili za dubai shaaa niende na dogo tukafurahie wokovu wetu wenye dhambi. Yaani hapo ukicheka imeshakula kwako! Mie nipige mzinga wa chipsi na nna shamba la viazi?
punguza hako katabia teh
nimekusoma mkuu,hajaku PM?yuko humuhumu!
Sasa mdogo wangu njaa yako mwenyewe kwanini impe shida shemeji yanguu???
Tabia haijifichi kama cjala lazma nimwambie. kwan nakuwa nimetenda dhambi?
sorry manka,umenisamehe?ila punguza kidogo
halafu we king'asti mbona unaniharibia?usimfundishe wifi yako,ataniua!!Boss (manake at this age nikikuita babe utajua unaibiwa live), zile mileage zako zimefika ngapi wangu manake nna hamu nazo hadi naskia kihindihindi. Hebu nifanyie mpango wa ticket mbili za dubai shaaa niende na dogo tukafurahie wokovu wetu wenye dhambi. Yaani hapo ukicheka imeshakula kwako! Mie nipige mzinga wa chipsi na nna shamba la viazi?
Sio kula tu we muagize mpaka pads na pantliner sio aje tu akute mambo sawa hajui hata brand ya pad unazotumia na bei yake!!!!
Sasa kama mwanaume atashindwa vitu vidogo hivyo, ni kipi anachoweza tena?
Bora kulalamika bidada anataka kubadilishiwa gari kila mara au mizinga ileeeeeee mikubwaaaaa.
Aaah kabisa shost, waache zao hivi vitu hata watoto wa sekondari wanaafford. Je wakipigwa mizinga ya maana si mtu anahama mkoa sijui nchi.
hahahaha chuo ujanja mwingi usikute mtu kashajishibia zake
"Babe unaweza kuniletea
popcorn...babe i want to
go movie kesho...babe on
saturday i need to go
swimming...babe in the evening
lets go
Marrybrown..."
heeeee
Mungu wee hawa
wasichana wa Kimarekani
waliokosea njia wakazaliwa bongo
fanya mpango wote wapate viza
wakaishi Marekani utuondolee
usumbufu.