Babe unaweza kuniletea popcorn

Babe unaweza kuniletea popcorn

afu hakuna hata siku moja aliyokushauri jambo la maendeleo....tanda lupeta
 
tatizo dis time utamchukua golikipa na kumweka ndani matokeo yake fungu unalomwachia anaanza kuhonga serengeti boy,hawa viumbe hawabebeki.
hahaahahhaha, hiyo hela unaacha milioni ngapi hadi ahonge? Embu acheni kujikweza jamani. Hela inaachwa ukiiina unaanza kuumwa kichwa kupanga budget kuanzia chai hadi hela za shule za watoto na dinner hapo hapo. Wakati nyie mnakula mchemsho huko maofisin
 
kwa kweli wengi wao hawana haja na mapochi ya midume acha kuwasingizia ndugu yangu labda huo babe wako anashindwa kutafuta kwa jasho lake .mbona mnatusarandia kiasi hicho

"Babe unaweza kuniletea popcorn...babe I want to ,go movie kesho...babe on saturday I need to go swimming...babe in the evening
lets go Marrybrown..."heeeee

Mungu wee hawa wasichana wa Kimarekani waliokosea njia wakazaliwa bongo fanya mpango wote wapate viza wakaishi Marekani utuondolee usumbufu.
 
weeeeeeeeeeeeee huyo huyo uliyenaye ndo yuko hivyo wanawake wa siku hizi ni wachakarikaji kupindukia nyie mnataka mvalishwe na wao sisi hatuko hivyo kamwe hatuko hivyo

afu hakuna hata siku moja aliyokushauri jambo la maendeleo....tanda lupeta
 
Jambo saaana rafiki TATIANA !!!!!! meamkaje???
Halafu hili jina lako asee!!!!!!!!!!!!!!!..........................wa...tu....ukiongeza hayo huko mwanzo!!!!!:tape::tape:

Hahahaaaaaa... huku salama hali ya hewa shwari..
Mmmh huo mnyumbulisho hahahaaasss
 
Last edited by a moderator:
weeeeeeeeeeeeee huyo huyo uliyenaye ndo yuko hivyo wanawake wa siku hizi ni wachakarikaji kupindukia nyie mnataka mvalishwe na wao sisi hatuko hivyo kamwe hatuko hivyo
umefunga PM???.....mh
 
na akizubaa mvalishe mawani ya mbao, atutakubali atuumizie

Uwe unapita pita, pamepwaya sana.

mweeee hadi ninejiskia kulia Konnie
Promithi you nitakuwa naingia huku kwa ajili yako tu
Huyu bhange mwingine hanipi shida nshamvalia sangoogles tayar.
Uwage unanisitua.
Will come.
Jus for u,and zombie ofukozi!
 
Natumaini hujapelekwa na mafuriko Kama ndio Sema ni wapi ulipotupwa tuwahi kujichukulia vyetu

Yeah yawezekana ni mafuriko pia!!!!
We angalia kibendera tu...............ila sio nungwi
 
"Babe unaweza kuniletea popcorn...babe I want to ,go movie kesho...babe on saturday I need to go swimming...babe in the evening
lets go Marrybrown..."heeeee

Mungu wee hawa wasichana wa Kimarekani waliokosea njia wakazaliwa bongo fanya mpango wote wapate viza wakaishi Marekani utuondolee usumbufu.

Wrong . wasichana wa kinarekani ni wachache sana walio hivyo. Wengine hi hard working, earn their money and spend... Baadhi ya wasichana Wabongo walio USA ndio wanaiga hizo tabia za kinugu na kipopo
 
Bora kuwekeza kwenye matofali na mchanga upate nyumba kibamba
 
kuna mwingine aliniambia 'babe leo sijanya " baasi nilipatwa na kigugumizi cha hasira nilimjibu nini fuatilia part B
 
Back
Top Bottom