Last edited by a moderator:
Hahahahaaa nimefunga pm, we endelea tu jiachie kama mwanzo.
Mokoyo hongera sana mr!katoka na Mndengereko
Mwingine kanipigia cm sasa hivi yuko chuo,eti 'baby unajua sijala hadi sasa hivi?'....sasa nimjibu nini?!
Ni kweli bantu lady vinawaza kuwa vidogo au vitu vokubwa.. Lkn tatizo ni jinsi mtu anavyoviomba ..yaani ni km kuchuna buzi vile.. Uswahilini tumeona ssNi sawa Dr ndio maana mtu unashauriwa uchague mpenzi/mke wa tabia uitakayo.
Sasa mtu size yake wa buku ten, unakuwa. na mtu atakaye millions ukishindwa utamlaumu nani? Dr.Mo
Sio uzungu bhana ila tunahitaji mtucomfy.
Mi nitakuletea soksi na handkerchiefs
Yeah yawezekana ni mafuriko pia!!!!
We angalia kibendera tu...............ila sio nungwi
nilikua wapi mie nimepitwa
Yah, lakini usiniletee mambo ya watoto wanaojiita 'high class'.
Ilimradi tu umaanishe kunifanya niwe smart.. I will like them.! Sio kila siku nakupa hela ukatafute nguo zako na kweli unanunua zako tuuu. Hata siku moja kusema Mr, nimependa hizi soksi nikakuchukulia hakuna!!! Khaaaa!!! Na usipowapa wanalalamika hao. Unakutana tu na msg, bebi nitumie 50000 kwenye mpesa!
Hata uwe mkali vipi...such kind ya mizinga nakupiga chini kweli hata kama ni utani tu.
Kwanini girls mnashindwa kuwa na budget?
Seriously,nipige hiyo mizinga in advance lakini sio tip-tap kama vile uliwekezaga pesa wakati ukiwa mdogo halafu unazitaka mara mija tu.Inakera sana.
Mizinga yote to scrutiny...tena uking'ang'anizi ndio mbaya utadhani ni deni au ilikuwa ahadi.Hahahahahaaaaa..... Say YEEEES to mizinga....
Ukiona dalili za mzinga tu basi muwahi mpige yeye mzinga."Babe unaweza kuniletea popcorn...babe I want to ,go movie kesho...babe on saturday I need to go swimming...babe in the evening
lets go Marrybrown..."heeeee
Mungu wee hawa wasichana wa Kimarekani waliokosea njia wakazaliwa bongo fanya mpango wote wapate viza wakaishi Marekani utuondolee usumbufu.