Babe unaweza kuniletea popcorn

Babe unaweza kuniletea popcorn

Na bora mdumae, manake mkisikia mizinga ya King'asti mtazimia!
 
Last edited by a moderator:
Hukuona kuku wa kienyeji manzese huko...?! Umetaka mwenyewe mambo ya wats up how u doin... nenda sasa utoke na babe... she will be sipping wine through the nite!
 
Sasa kama mwanaume atashindwa vitu vidogo hivyo, ni kipi anachoweza tena?
Bora kulalamika bidada anataka kubadilishiwa gari kila mara au mizinga ileeeeeee mikubwaaaaa.
 
Sasa kama mwanaume atashindwa vitu vidogo hivyo, ni kipi anachoweza tena?
Bora kulalamika bidada anataka kubadilishiwa gari kila mara au mizinga ileeeeeee mikubwaaaaa.
bantu lady ndo uko level hizo?!nakukimbia
 
Sasa kama mwanaume atashindwa vitu vidogo hivyo, ni kipi anachoweza tena?
Bora kulalamika bidada anataka kubadilishiwa gari kila mara au mizinga ileeeeeee mikubwaaaaa.

Umeona eeh..mizinga ya millions sawa lakini popcorn.. drinks..foods...oooh
 
bantu lady ndo uko level hizo?!nakukimbia

Nelson be serious tuvitu tudogo huto jamani, si kwmba anashindwa yeye kununua ila inaongeza mapenzi akideka kwako. Popcorn, Ice cream, wines ndio vikorombwezo vya mahaba Nelson nely
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom