Babe unaweza kuniletea popcorn

Babe unaweza kuniletea popcorn

Dah noumer sana,refer my signature mtoa mada!
 
Sijawahi piga mzinga huwezi amini, mimi mgumu kuomba hata kama na shida gani.
Ila mwanaume mwenyewe alikuwa anajua nini nataka na kwa muda gani. Si ndio nashangaa mpaka mtu unaombwa? Nilikuwa siombi napewa, na ambavyo nilikiwa siombi ndivyo naye alikuwa akiumizwa kichwa kunitimizia kila kitu.
Hope umenielewa MstahikiMeya

Kitabia umefanana kabisa na mpenzi wangu,,kumbe wa hii mko wengi mi nilijua ni yeye tu,, maana kabla yake sikuwahi kumpata wa hivyo.

Ni kweli mwanaume usipokuwa na tabia ya kumpiga mizinga una muweka katika hali fulani ambayo inamfanya akuone unathamani..

Isijekuwa nakuquote kumbe we ndo mpenzi wangu,,maana hizi id fake zinatustili,,,LOL
 
Last edited by a moderator:
"Babe unaweza kuniletea
popcorn...babe i want to
go movie kesho...babe on
saturday i need to go
swimming...babe in the evening
lets go
Marrybrown..."
heeeee

Mungu wee hawa
wasichana wa Kimarekani
waliokosea njia wakazaliwa bongo
fanya mpango wote wapate viza
wakaishi Marekani utuondolee
usumbufu.

mi babe wangu kanambia eti ameanza kusoma chuo kule dodoma---nkamuuliza, 'udom?', akajibu, 'ndio'. nilipomuuliza kozi anayosoma jibu alonipa kidogo nizimie---eti akanijibu kwamba BADO HAJAPANGIWA kozi! kaazi kweli kweli! nna wacwac huyu atakuwa ameenda kupiga u-harlot kwa wabunge wa BMK!
 
mi babe wangu kanambia eti ameanza kusoma chuo kule dodoma---nkamuuliza, 'udom?', akajibu, 'ndio'. nilipomuuliza kozi anayosoma akasema kidogo nizimie---eti akanijibu kwamba BADO HAJAPANGIWA kozi! kaazi kweli kweli! nna wacwac huyu atakuwa ameenda kupiga u-harlot kwa wabunge wa BMK!

Ukiona manyoyaaaaaa .........
 
Sasa akishaviringisha hiyo alfu yake anachokorolea maskio ama? Afu umenikumbusha, hivi sikudai mtoko mmoja?
I waz asking maisef!
Hiyo alfu anaweza kuitumia kwa qaaaz nying
Hata kujikumbusha maumbo ya hisabati darasa la V.
 
Kitabia umefanana kabisa na mpenzi wangu,,kumbe wa hii mko wengi mi nilijua ni yeye tu,, maana kabla yake sikuwahi kumpata wa hivyo.

Ni kweli mwanaume usipokuwa na tabia ya kumpiga mizinga una muweka katika hali fulani ambayo inamfanya akuone unathamani..

Isijekuwa nakuquote kumbe we ndo mpenzi wangu,,maana hizi id fake zinatustili,,,LOL

Nakuchoraga tu endelea, umeshanianika mengi humu kwa post zako nakuchuniaga
tu. Nitakwambia kitu hapa utazimia baba yoyoo.
Phlagiey
 
Last edited by a moderator:
Hiv Lakin hebu niwaulize dot.com
Siku hiz mapenzi mnayanogesha na nini?
 
Ha ha ha, hawajui mapenzi kwa kizungu ni matamu zaidi?

Ni kama nikiagiza 'lemon Ice tea', ni tamu kuliko kusema chai ya baridi ya ndimu.

Utaskia si bora nikununilie muhindi wa kuchoma?
Khaaaaa!zawadi gani haina hata kidhungu chake!
Zawadi za kimahaba ni kuku wa marrrybrown (nikiisema hii kene simu ndo utaona how romantic it iz)
Ice cream hii nasema nikiwa narembuajeeeee
Ah hakyanani vijana siku hizi hawajui mahabat!
 
Back
Top Bottom