Babe unaweza kuniletea popcorn

Babe unaweza kuniletea popcorn

Hahahaaaahaa....depends Mimi nipo class gani. No faking.
So nikiwa high inabid ujibebe

Hilo nalijua, ila kuna wale wenzangu na Mimi tunatoka wote Ludewa akifika mjini anakuwa kama amezaliwa ocean road na kukulia masaki. Kila kitu anachotaka ni supermarket. Nikikutana na we wa kishua nitajua namna ya kukubeba.
 
Khahahaaaa.... lol...
Au baby kodi yangu imeisha natakiwa nilipe 4mil next week mwenye nyumba kawa mkali!!!
Hapo ni jtano jumatatu hela inatakiwa

Ukitaka nikulipie kodi hamia kwangu. We ndugu zangu wanasoma shule za kata aafu nikulipie kodi ya nyumba 4m aafu na foleni napangishwa! Khaaa!
 
mhhhh hivi kula popcorn,kwenda movie,swimming na kula marrybrown ni anasa jamani??...hadi uje useme mmu nyie wanaume,kwani nyie hamuendagi..?
 
Only in bongo iz anasa!!

ahhh jmn mwenge pale tunanunua fuko la popcorn mia 5 haki humalizi mwenyewe...nan anazijua hzo popcorn karibia na mwembe pale,jero tu ...yani 500?
 
ahhh jmn mwenge pale tunanunua fuko la popcorn mia 5 haki humalizi mwenyewe...nan anazijua hzo popcorn karibia na mwembe pale,jero tu ...yani 500?


Hahahaaa... napajua sana palikuaga maeneo yangu ya kujidai Sema tu siku hizi nimeadvance...lol
 
Back
Top Bottom