Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Last edited by a moderator:
It is said diamond causes cancer baby i dont wanna be without you!!!!
Oooh darling.. I know you care about me a lot. A 22C gold necklace won't be that bad. Thanks so much
Halafu unanitonya mi natokea kama bahati mbaya then unajidai unapokea simu ukija huko mbio unaaga as if kuna "situation" inakuhitaji ila utarudi ASAP my dada ok???!!!!!
Unakuwa ndo ushaniweka kakio!!!
hahahahahahah
mwalimu wao ni Phlagiey
Ha ha ha, hawajui mapenzi kwa kizungu ni matamu zaidi?
Ni kama nikiagiza 'lemon Ice tea', ni tamu kuliko kusema chai ya baridi ya ndimu.
He he, utanilipa nini?
Sawa nitafanya, venue nitakonfemu in private.
Unatafuta nini huku kwa wastaarabu!!!!?????
Guys kuweni makini na vitu vya thamani..natambua uwepo wa miss neddy!!!!!
Kwani hajabatizwa????!!!!hizi kasumba hizi!!! unajua kweli nilikuwa nakademu nikikaita 'mrembo' kanachukia balaa! eti anataka nimute 'cutee' au pretty!!! nikimwambia barafu wangu wa moyo ni ugomvi,anasema it sounds awkward anataka nimuite sweetheart!!!!
Ahaaahhahhha hawajui wenzao kiinglish kilitupa uhakika wa barua nying kutoka kwa mabebs!Ha ha ha, hawajui mapenzi kwa kizungu ni matamu zaidi?
Ni kama nikiagiza 'lemon Ice tea', ni tamu kuliko kusema chai ya baridi ya ndimu.
hahahahahaua wallah natafuta msamiati mpya twin ule umeisha power
Hehehe tutavaa sungoggles ili tusionane ama? Mi huwa i smuggle my coffee in my handbag so usizimie ukiona natoa kitermosi changu na kuanza kujichana
Sasa akishaviringisha hiyo alfu yake anachokorolea maskio ama? Afu umenikumbusha, hivi sikudai mtoko mmoja?
unajua wanatuona mizigo sana tukiwa nao, ila wana-play verry cool wakati wanakufata. I hate it. Unataka tuchat, ila vocha nijitegemee o nichukue kwa mama, inahusuuTena at any cost...anything money can buy
Ha ha haaa utajijua mwenyewe!!!!!!!
Missed you leo,sijakutia machoni!!!
Akishaviringisha atachemsha kama soseji.