MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 829
- 1,742
Kwanini kuwapata Malaika Mungu hakuweka option kwamba kura zipigwe malaika mkuu ni nani, Rafaeli aende wapi n.k si kila mahali demokrasia ni muhimu, kama haujui moja ya nguzo muhimu sana kwa wakatoliki ni "Utii". Lengo kuu la kanisa ni kuhakikisha imani za waumini zinaimarika na hatimaye wafike mbinguni, Jinsi ya kutekeleza hilo ni mipango ya Kanisa lenyewe, Wewe kama muumini unapaswa kuwa mtii na kufuata mafundisho, Period! Hauwezi kwenda shule then Headmaster anatoa options wanafunzi mpige kura kuchagua waalimu! Sio kazi yenu!. Leo tunashuhudia madhehebu ya kiprotestant kama Morovian,KKKT, n.k waumini wakitoka nje ya masuala ya kiimani na kuanza kugombania nafasi za uongozi na siasa zikitawala badala ya kujikita katika imani zao! Jambo ambalo halifai kabisa.Zile ni "Amri" yaani Order
Pale hakuna Uongozi, wote mnapaswa Mtii sawa?
Lakini katika kumpata Papa kuna Demokrasia which is Good
Kwanini kuumpata Kadinali na Mapadri kusiwe na Demokrasia yaani wapigiwe kura na Wajumbe?