ndiuka

JF-Expert Member
Dec 21, 2009
620
703
Rugambwa.jpg

Askofu mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa​


Mhashamu Protase Rugambwa sasa Mhadhama.

Baba Mtakatifu Fransisco amemteua Askofu mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa kuwa Kadinali. Mhashamu Protase Rugambwa ni mwandamizi wa kiti cha uaskofu Jimbo kuu Katoliki la Tabora.

Hongera sana Mhashamu Rugambwa.

Taarifa toka Vatican
Sister Angela Rwekiza


-
Pia soma >
- Je, Protase Rugambwa ndiye Kardinali ajaye Tanzania?


--
KARDINALI MTEULE RUGAMBWA NI NANI?

▪︎Askofu Mkuu Rugambwa alizaliwa tarehe 31 Mei 1960 huko Bunena-Bukoba nchini Tanzania, akapata Daraja Takatifu ya Upadri kutoka mikononi mwa Mtakatifu Yohane wa Pili alipotembelea Tanzania tarehe 2 Septemba 1990 na kuwa Padri wa Jimbo Katoliki Rulenge-Ngara.

Kuanzia mwaka 2002 hadi mwaka 2008 alifanya utume wake kwenye Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa watu mjini Vatican. Baba Mtakatifu Benedikto XVI, tarehe 18 Januari 2008 akamteuwa kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki Kigoma, na tarehe 26 Juni 2012 akateuliwa kuwa Katibu Mwambata wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa Watu na Rais wa Mashirika ya Kipapa ya Kimisionari na wakati huo huo kumpandisha hadhi na kuwa ni Askofu mkuu.

Tarehe 9 Novemba 2017 Baba Mtakatifu Francisko akamteua kuwa Katibu mkuu wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa watu. Baada ya kulitumikia Baraza kwa vipindi viwili na muda wake ulipogota ukomo, kadiri ya Katiba mpya ya Kitume inayojulikana kama “Predicate evangelium” yaani “Hubirini Injili” Juu ya Sekretarieti kuu “Curia Romana” na Huduma Yake Kwa Kanisa na Kwa Ulimwengu”.

Tarehe 13 Aprili 2023, Baba Mtakatifu alimteua Askofu Mkuu Protase Rugambwa kuwa Askofu mkuu wenye haki ya kurithi Jimbo kuu la Tabora, Tanzania.
 
Baba Mtakatifu Fransisco amemteua Askofu mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa kuwa Kadinali.
▪️Mhashamu Protase Rugambwa ni Mwandamizi wa kiti cha Uaskofu Jimbo kuu Katoliki la Tabora.

KARDINALI MTEULE RUGAMBWA NI NANI?

▪︎Askofu Mkuu Rugambwa alizaliwa tarehe 31 Mei 1960 huko Bunena-Bukoba nchini Tanzania, akapata Daraja Takatifu ya Upadri kutoka mikononi mwa Mtakatifu Yohane wa Pili alipotembelea Tanzania tarehe 2 Septemba 1990 na kuwa Padri wa Jimbo Katoliki Rulenge-Ngara.

Kuanzia mwaka 2002 hadi mwaka 2008 alifanya utume wake kwenye Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa watu mjini Vatican. Baba Mtakatifu Benedikto XVI, tarehe 18 Januari 2008 akamteuwa kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki Kigoma, na tarehe 26 Juni 2012 akateuliwa kuwa Katibu Mwambata wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa Watu na Rais wa Mashirika ya Kipapa ya Kimisionari na wakati huo huo kumpandisha hadhi na kuwa ni Askofu mkuu.

Tarehe 9 Novemba 2017 Baba Mtakatifu Francisko akamteua kuwa Katibu mkuu wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa watu. Baada ya kulitumikia Baraza kwa vipindi viwili na muda wake ulipogota ukomo, kadiri ya Katiba mpya ya Kitume inayojulikana kama “Predicate evangelium” yaani “Hubirini Injili” Juu ya Sekretarieti kuu “Curia Romana” na Huduma Yake Kwa Kanisa na Kwa Ulimwengu”.

Tarehe 13 Aprili 2023, Baba Mtakatifu alimteua Askofu Mkuu Protase Rugambwa kuwa Askofu mkuu wenye haki ya kurithi Jimbo kuu la Tabora, Tanzania.

RUGAMBWA.jpeg
 
09 July 2023

LIVE : PAPA FRANCIS AKITAJA MAJINA YA MAKADINALI-WATEULE IKIWEMO LA MONSIGNORE PROTASE RUGAMBWA AMBAYE NI ASKOFU WA JIMBO LA TABORA TANZANIA



Shughuli rasmi ya kuwapa vyeo hivyo itafanyika mwezi September tarehe 30, 2023 Papa Francis ametoa taarifa hiyo katika St. Peter's Square leo

Makadinali wapya wateule wanatoka nchi za United States, Italy, Argentina, South Africa, Spain, Colombia, South Sudan, Hong Kong, Poland, Malaysia, Tanzania, and Portugal.

Makadinali - wateule huvishwa bereta ile kofia nyekundu ya ukadinali na kuvishwa pete yenye nembo maalum inayoashiria kuwa Prince of the Church kuwa nembo ya washauri wakuu wa Baba Mtakatifu ambaye ni kama King of the Church. Hivyo makadinali ni kama watoto wanaoendeleza kanisa na ni washauri wakuu wa Papa.

Kazi nyingine ya makadinali ni kushiriki katika conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu yaani Papa inapotokea hitaji hilo la kuchaguliwa Papa kumrithi baba mtakatifu aliyekuwepo ndani ya kanisa. Kuna kanuni Kadinali akifikisha miaka 80 ya umri asiwe na haki ya kupiga kura kuingia katika conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu. Hali ya kiafya ikiwa siyo nzuri ya kadinali hata kama hajafikisha umri wa miaka 80 haruhusiwi kushirikia conclave ya kumchagua Baba Mtakatifu yaani Papa.

Tanzania imepata heshima pia huko nyuma kuwa na Kardinali Polycarp Pengo mwaka 1998 baada ya kufariki kwa Kardinali Laurean Rugambwa mwaka 1997. Kardinali Laurean Rugambwa ambaye alikuwa mwaafrika wa kwanza kuwa cardinal mwaka 1960.


26 Juni 2023

Salamu za Rais Samia kwa Askofu Mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa zikiwasilishwa na Waziri Nape


Mh. Samia Hassan anasema Baba Askofu Protase Rugambwa ni hazina na tunda jema la kiroho la Tanzania na Afrika kwa jumla

PICHA TOKA MAKTABA :
Papa akiwa na askofu Protase Rugambwa,
1688903519789.png


The Three Newly Named Cardinals from Africa​

malawi-46_1688975149.jpg
Archbishop Stephen Ameyu Martin (center), Archbishop Stephen Brislin (left) and Archbishop Protase Rugambwa (right) among the 21 cardinals named by Pope Francis on July 9, 2023.

By ACI Africa Staff
Nairobi, 09 July, 2023 / 10:15 pm (ACI Africa).

Three Catholic Church leaders from South Sudan, South Africa, and Tanzania are among the 21 Cardinals that the Holy Father named after reciting the Angelus prayer on Sunday, July 9.

Unlike the 2022 Consistory that had two African Bishops named Cardinals, the three newly named Cardinals from Africa are Archbishops at the helm of Metropolitan Sees, the one in South Sudan headquartered in the capital city, Juba.

Archbishop Stephen Ameyu Martin of Juba, South Sudan, 59
The 59-year-old South Sudanese Cardinal-designate started his Episcopal Ministry in March 2019 as Bishop of South Sudan’s Torit Diocese; he had been ordained a Priest for the same South Sudanese Diocese in April 1991.
The alumnus of the Pontifical Urbaniana University in Rome where he obtained his masters and doctoral degrees in Dogmatic Theology engaged in teaching and forming candidates for the Priesthood at the Juba-based St. Paul’s Major Seminary
 
Back
Top Bottom