- Thread starter
- #81
Ofisini ngumu kufumaniwa, ila kama na mtaani ulikuwa wamla ndio shida. Ila kama ofisini tu uwanja wako wa kujidai..Mi nimeachana nae mkuu mume wake mbabe balaa anaweza kunila bastola dadekii😂😂
Ofisini ngumu kufumaniwa, ila kama na mtaani ulikuwa wamla ndio shida. Ila kama ofisini tu uwanja wako wa kujidai..Mi nimeachana nae mkuu mume wake mbabe balaa anaweza kunila bastola dadekii😂😂
Sometime nilikuwa naenda kwake namla.Penzi likishakolea unaona sehem yeyote fresh tuOfisini ngumu kufumaniwa, ila kama na mtaani ulikuwa wamla ndio shida. Ila kama ofisini tu uwanja wako wa kujidai..
Ulivuka mipakaaa 😅😅 wa ofisini mnaishia ofisini kakaSometime nilikuwa naenda kwake namla.Penzi likishakolea unaona sehem yeyote fresh tu
Usiwe serious sana na maisha mkuu.. Enjoy mkuuUkila mzigo ukaendelea na mambo yako utapungukiwa nini???!! Sio kila kitu kuja ku post hapa JF, be a grown man
Ndo maana nikastuka.Kipind kile nilikuwa sijaoa saiv nimeoa japo naona bado anajilengeshaUlivuka mipakaaa 😅😅 wa ofisini mnaishia ofisini kaka
Kufuga ngombe ni gharama sana kuliko kununua maziwaNyie andikeni nyuzi mnavyotaka, jazeni seva za Mello ila kuoa used hakukwepeki..!! 😹😹😹
Used tunachukua ila tunaangalia namna ya kukabiliana changamoto za usedNyie andikeni nyuzi mnavyotaka, jazeni seva za Mello ila kuoa used hakukwepeki..!! 😹😹😹
Hongera kwa kuoa kakaNdo maana nikastuka.Kipind kile nilikuwa sijaoa saiv nimeoa japo naona bado anajilengesha
Eeh! North Korea? Nimesikia vizuri kweli? Ngoja nitege sikio tena, labda nimesikia vibaya!Mie najua hakuna mabadiliko na honeymoon yetu ulisema tutaenda North Korea
Baadhi sio wote, wanapokuwa ofisini wanajifanya hawana wapenzi au wapo kwenye mapenzi yanayopumulia machine, kana kwamba wanahitaji faraja.
Ofisini hapa Kuna dada nilimkuta, najua ana mpenzi wake na kutwa wana postiana status, nika test kumtania/kimasihara ili ku prove anachosema Xi Jinping ghafla anasema yupo single na wiki lote limekuwa heka heka ofisini, mie kawaida natoka ofisini usiku nae anakaa hadi usiku ili mradi anile kichwa.
Jamani huku ofisini Hali mbaya Kuna ngono na mapenzi ya ajabu ajabu sana.
Sasa sijui tuombea Mungu kabla hatujatoka labda mtu anakuwa na hofu , au kuwe na vipimo vya ukaguzi kama mtu kafanya madudu mda mfupi uliopita, maana Hali ni mbaya inatisha
Ni hatari sana maofisini, Kuna uwezekano hata mimba za staff wenzao sana, alafu akirudi home ana mchomekea mwamba wake ... Mke akiwa ofisini kati watoto wengi huenda unakutwa mtu umepigwa mahalaWanagongeka ile mbaya,japo Mimi sijawahi kupata, wafanyakazi wakisafiri ni ngono tu
Eeh! North Korea? Nimesikia vizuri kweli? Ngoja nitege sikio tena, labda nimesikia vibaya!
My comrade wasi kutishe, honeymoon lazima ifanyikie Pyongyang 😁.North Korea tunaenda Intelligent businessman kasema
AsanteHongera kwa kuoa kaka
Twende North KoreaMy comrade wasi kutishe, honeymoon lazima ifanyikie Pyongyang 😁.
Ka ni usalama hilo si la kuuliza, au tufanye mabadiliko twende Seoul Joanah ?
Hii habari sio mpya jijini labda kwa mgeni.Nyie andikeni nyuzi mnavyotaka, jazeni seva za Mello ila kuoa used hakukwepeki..!! 😹😹😹