kisanga

Robert Kisanga (20 June 1933 – 23 January 2018) was a Tanzanian judge. He served as a judge in the High Court of Tanzania and was a Justice of Appeal at the Court of Appeal of the United Republic of Tanzania. He served as the first Chairman of the Tanzania Commission for Human Rights and Good Governance before retiring in 2008.He was educated at the University of Birmingham (LLB) in England. He was also a Barrister in Middle Temple in London. He was awarded an honorary doctorate by Birmingham University in 2010.Kisanga died on 23 January 2018 at Regency Hospital in Dar es Salaam where he was receiving medical treatment.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hana washauri? Habari ya kupata Katiba Mpya inahitaji elimu ya miaka mitatu inatoka wapi? Tume ya Jaji Kisanga na rasimu ya Jaji Warioba?

    Nimeshangaa kusikia anasema eti ili mabadiliko ya katiba mpya wananchi wanatakiwa kupata elimu kwa miaka mitatu . Wajue nini kinafaa ndani ya katiba hii ya sasa na nini hakifai. Iliundwa tume ya Jaji Kisanga mwaka 1998 ikakisanya maoni ya Wananchi kupitia White paper. Serikali ya CCM chini ya...
  2. Phobia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa kimarekani wengi ni kisanga aaah, natamani kuachana nae ila nahofia divorce itanifilisi

    Wakuu haya mambo yasikie kwa wenzenu tu aisee hawa wanawake wa huku abroad ni kisanga jamani aaaah hii 50/50 mtihani jamni unaweza kukufilihisi hivi hivi na wanawake wa huku majuu wapo na wewe kwa ajili ya mali tu hasa wakijua ni mwafrika na kama mwafrika umeendelea na umetajirika kwahiyo...
  3. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanawake wa maofisini ni mtihani

    Baadhi sio wote, wanapokuwa ofisini wanajifanya hawana wapenzi au wapo kwenye mapenzi yanayopumulia machine, kana kwamba wanahitaji faraja. Ofisini hapa Kuna dada nilimkuta, najua ana mpenzi wake na kutwa wana postiana status, nika test kumtania/kimasihara ili ku prove anachosema Xi Jinping...
  4. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Kisanga cha wana ndoa na uzazi

    Anahitaji ushauri, soma kisa chake hapo 👇 My wife is pregnant with another man's baby and now she wants to leave me. For some background, I got married years ago and my wife and I were happy but issues started when several years passed and she was unable to get pregnant. We tried all we could...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Juzi nilikuwa Posta, Mwendokasi mida ya jioni ni kisanga. Serikali hamwoni? Nusura nipate kilema

    JUZI NILIKUWA POSTA, ASEEH! MWENDOKASI MIDA YA JIONI NI KISANGA. SERIKALI HAMWONI? NUSURA NIPATE KILEMA. Anàandika, Robert Heriel Mtibeli Baada ya kumaliza kilichonipeleka, jua lilikuwa limeshapunga mkono wa Buriani. Kigiza cha usoni kilikuwa kimetawala usoni pa Nchi. Ni saa moja hiyo...
  6. Econometrician

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Elineema Kisanga wa UDSM Idara ya Uchumi afariki Dunia

    Dkt. Elineema Kisanga lecturer wa shule ya Uchumi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amefariki Dunia Leo asubuhi. Taarifa zinasema kuwa mauti yamemfika akiwa mazoezini, Leo asubuhi ambapo alianguka na kufariki hapo hapo. Kwa wale mliosoma undergraduate, masters na Phd UDSM hope mtakuwa mnamkumbuka...
  7. rajiih

    JamiiForums Tanzania Ulifanya 'Kisanga' gani ambapo Mama yako alikutetea kwa Nguvu zote ili kukuokoa?

    Habari wana Jf, poleni na majukumu ya kazi. Leo tufunguke ni visanga gani ambavyo uliwahi kuvipata na ukweli ulifanya lakini kwa namna fulani mama yako akasimama mbele yako na kukutetea kwa nguvu zake zote. [emoji1787][emoji23][emoji1787] Funguka!
Back
Top Bottom