Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Kwa akili yangu hio week moja ningempa kitu cha kumfanya aumwe kidogo aharisheee huku nikiwa busy na mambo yangu
After a week aendelee na mbio zake ningempa matukio mdogo mdogo mbeleni kingeeleweka
aiss wewe ni mchawi!!!
 
Kwenye uchumba mlikaa muda gani???
Huo ndyo ulikuwa muda wa kumsoma vizuri
Kwa sasa kula chuma
Angalia asikudhuru tu maana kesi za wanandoa kuuana zimekuwa nyingi sana
 
Mlete huyo mumeo kwangu nimfundishe kuchepuka kwa amani.. Hutanfumania wala kumhisi na utaishi naye kwa amani kabisa..
 
Fala kweli yaaaaani hilo ni chaguo lako Hii nyimbo mtunz aliona mbali
Kweli hayo yapo kama anachepuka haji na magonjwa bas amvumilie tu ampe muda na kama kuna mambo yeye mwenyewe anafanya mme wake hapendi bas abadilike
 
Tulia wewe, mwanaume akiingia kwenye ndoa ndio hupata zaidi vishawishi unakuta mke ndio ametoka uzazi amejiachia balaa hapo unaandika ila ukute umevaa mikanga tupu na minywele umeiachia tu.

Tulia nawe jikague vizuri, haiwezekani ndoa ya miaka miwili unaanza kulalamika mtu anakucheat. Mpe mambo jipake poda nukia oga osha mashuka, nyumba ing'ae acha kumsemesha upuuzi kila saa na acha kumkaguakagua simu yake na kumdadisi alikuwa wapi instead anza kumpa pole kwa kazi na kumwambia maneno mazuri.

Ongea nae mambo yanayokuudhi kwa upendo na upole na mfanye ajisikie aibu kwa anayoyafanya pia uasiache kumkumbusha viapo vyenu kanisani na usiache pia kumuombea kwa Mungu.

Pia ongea nae kwa upole kuhusu hisia zako kwake jinsi unavyompenda na namna anavyokuumiza kwa matendo yake. Mfahamishe kwamba wewe ni mwanadamu haupendi kujuta kuolewa nae na haupendi ifike pahala muachane au mvunje ndoa sababu ambazo anaweza kuzuia yeye mwanaume wako.

Tell him your feelings dewply kwa upole. Tafuta sehemu mtoe out na umwambie unataka kukaa nae faragha ya dinner. Mjadili bila yeye kunywa pombe ili aelewe maana akilewa atakuchukulia poa.

Jaribu kumuelezea namna ambavyo pombe inamzidi pia angalia kama inasababishwa na stress za kazi au nini? Ongea nae acha kukimbilia kutafuta ushauri mwingi maisha ni yako wewe.

Pambana ndoa sio Big Brother House. Fikiria mwanao je ataishi na wababa wangapi? Unamuacha huyu utakutana na malaika? Wanaume ndio sisi sisi tu hatuna tofauti sana we just sin differently.

Komaa na ndoa we tafuta jamaa akuliwaze kimyakimya huku unatunza ndoa kwa maana kuishi pamoja ili mtoto akue mazingira salama.
Umeshauri vizuri tatizo umeharibu hapo mwisho,nimekuvua hekima yote uliyo nayo!

Hakuna amani au furaha ipatikanayo kwa kuishi nje ya utaratibu ndoa ni utaratibu uliowekwa kwa jamii ili kuishi kistaarabu,mume amekengeuka siyo sahihi kumshauri mke nae aende nje ya utaratibu ni kuzidi kuongeza tatizo,umesema mwenyewe wanaume ni sisi sisi assume atafute mchepuko nao uwe na chain ya wanawake mume nae ahangaike huko hiyo circle unayaona maisha hapo?

Kaka yangu mkubwa anakula njugu huu mwaka wa 19 kwa ujinga huu huu,mke alishindana kuchepuka na mume mwisho ukimwi umeingilia familia matokeo wana watoto wawili nao wanakula ARV mateso makali sana na uthibitisho ukimwi aliuleta mke.

Ukihisi una hekima ya kushauri bado inabidi uombe uongezewe hekima ya utulivu ili kushauri kujenga siyo kushauri namna ya kuongeza tatizo.
 
Umeshauri vizuri tatizo umeharibu hapo mwisho,nimekuvua hekima yote uliyo nayo!

Hakuna amani au furaha ipatikanayo kwa kuishi nje ya utaratibu ndoa ni utaratibu uliowekwa kwa jamii ili kuishi kistaarabu,mume amekengeuka siyo sahihi kumshauri mke nae aende nje ya utaratibu ni kuzidi kuongeza tatizo,umesema mwenyewe wanaume ni sisi sisi assume atafute mchepuko nao uwe na chain ya wanawake mume nae ahangaike huko hiyo circle unayaona maisha hapo?

Kaka yangu mkubwa anakula njugu huu mwaka wa 19 kwa ujinga huu huu,mke alishindana kuchepuka na mume mwisho ukimwi umeingilia familia matokeo wana watoto wawili nao wanakula ARV mateso makali sana na uthibitisho ukimwi aliuleta mke.

Ukihisi una hekima ya kushauri bado inabidi uombe uongezewe hekima ya utulivu ili kushauri kujenga siyo kushauri namna ya kuongeza tatizo.
Katika tendo mwanamke Hana ujanja akichepuka Mwenye maamuz ya kutumia condom ni mwanaume sasa asilimia kubwa mwanamke akichepuka akikutana Na jamaaa huwa ni kavu tu na maradh anayaleta
 
Hapana mkuu huyo itakuwa pombe na zinaa havijawahi kumtenda ndo maana unamuona bado anaendelea navyo
Kwahiyo bibie asubiri tu madhara yampate na yeye ndio bwana chitombi plus pampula atulie!!!

Haki wanawake mtafika mbinguni mko hoiiiii, itabidi muanze na energy drinks.
 
Umeshauri vizuri tatizo umeharibu hapo mwisho,nimekuvua hekima yote uliyo nayo!

Hakuna amani au furaha ipatikanayo kwa kuishi nje ya utaratibu ndoa ni utaratibu uliowekwa kwa jamii ili kuishi kistaarabu,mume amekengeuka siyo sahihi kumshauri mke nae aende nje ya utaratibu ni kuzidi kuongeza tatizo,umesema mwenyewe wanaume ni sisi sisi assume atafute mchepuko nao uwe na chain ya wanawake mume nae ahangaike huko hiyo circle unayaona maisha hapo?

Kaka yangu mkubwa anakula njugu huu mwaka wa 19 kwa ujinga huu huu,mke alishindana kuchepuka na mume mwisho ukimwi umeingilia familia matokeo wana watoto wawili nao wanakula ARV mateso makali sana na uthibitisho ukimwi aliuleta mke.

Ukihisi una hekima ya kushauri bado inabidi uombe uongezewe hekima ya utulivu ili kushauri kujenga siyo kushauri namna ya kuongeza tatizo.
Hakuna ushauri wenye tatizo haya yote ni katika kuangalia alternatives ila katika hayo yote kuna ajali pia maana hata kusema aachane nae anaweza akaja kukutana na mwenye huo ukimwi sasa.

I think kuna ndoa zinaishi kwa style hiyo pia na zinaenda fresh tu. Sisemi akafanye ila kama anaweza basi awe na mtu anayeheshimiana nae .

Sipendi sana kubishana kwa kuweka personal experiences sababu inafanya kuona kwamba mambo fulani ni mabaya na fulani ni mazuri.

Hata ukimwambia avumilie ameshakuambia jamaa ni malaya mbwa ananunua mpaka wauzaji hapo unataka kumwambia abaki? Mie natoa just overview suala la nini afanye hiyo ni lake binafsi.

I think busara pia ni kumpa mtu all options available halafu achague mwenyewe.
 
Wanawake wengi walioolewa wanakuwaga na tendency ya mazoea sana na waume hasa wakishakaa muda mrefu ndoani.

Akishamzoea mwanaume automatically anaanza kubadilika na kuwa mtu wa kumkadiria. Sometimes mbunye anakubania tu. Halafu ukimpotezea ulalamishi kibao yani.

Hakufanyii mambo special tena. Anakjibu utumbo tu anavyojiskia.
Wee waache wajidai sie tunasubiria siku wanawake saba watakapo mlilia mwanaume mmoja afiche aibu yao
 
Wana
Kwahiyo bibie asubiri tu madhara yampate na yeye ndio bwana chitombi plus pampula atulie!!!

Haki wanawake mtafika mbinguni mko hoiiiii, itabidi muanze na energy drinks.
Wake gani hao wa kwenda mbinguni unaozungumzia?
 
Wanaume hatupendi kelele.
Huenda wewe una kelele sana na hiyo ndo sababu kuu ya ulevi wa mumeo na uchepukaji.

Cha kufanya we mwache kwa muda hata wa mwezi mmoja bila kumpigia kelele za uliwa wapi, kila siku nasema hili, we mwanaume mlevi sana, hujali familia, mbona wenzio hawako ivo nk nk.

Uwe busy na kazi au biashara yako, akiona umebadilika kazi itakua kwake sasa kuanza kufatilia kwanini hupigi kelele tena, au unachepuka akikuuliza ndo hapo mtakaa sawa.

Kelele, vikao na mshataka kwa wazazi haviwezi mbadilisha.

Umeongea vyema sana
 
Bora Mwanaume mlevi mara kumi kuliko Msaliti katika ndoa kwa maana msaliti analeta laana zote huko nje analeta ndani, Magonjwa yote analeta ndani bila kusahau mikosi.
Huenda hata sio msaliti ila mke ana wenge.
Wala hkukua ni Kimuhemuhe ..Ni watu tuliojuana muda mrefu , Sema distance Factor ..Tulikua tunaishi mikoa tofauti

Hongera sana
Huyo ni mume wako, ndie uliemchagua mwenyewe.

Nakushauri uchukue ushauri wangu wa mwanzo. Ukimuacha hata utakaempata utataka awe perfect kitu ambacho hakipo, utaendelea na kisirani chako mwisho ujione una mkosi. Kumbe tatizo ni wewe mwenyewe una overexpectation.
 
Back
Top Bottom