Mrs Joho 001
Member
- Aug 5, 2023
- 57
- 153
- Thread starter
- #261
Sawa Mkuu , Ntafanya ivoMfno wa hayo na majanga mengine lakin dada kuvunja ndoa ni jambo rahisi sana lakn kuja kupata ndoa Nyengine sio kiturahisi mm naona kuirekebisha ndoa yako kunawepesi kuliko kuivunja na kupata nyengine inaweza kuwa historia Kaa cku na Mama yko umuulize yy alivumilia mangap mpaka leo unaweza ukajivunza kitu