Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Mungu amekupa mume sahih kwa kipimo chako unamuachia nane bwana ako pambna nae bhna ulitaka huyo bwana awe na mke gani ..hicho Ni kipimo chako ukikushundwa utakuja kupata bwana fetuzaid ya huyo
 
Natamani kuvunja ndoa yangu.

Habari zenu wakuu, natumai mko poa. Nimekuja na nia ya dhati kutafuta ushauri kuhusu jambo langu ambalo linanitatiza.

Mimi ni msichana mwenye umri chini ya miaka 30. Nina mtoto mmoja wa kiume. Nimekuwa katika ndoa na mume wangu kwa takriban miaka miwili sasa.

Sababu za maamuzi yangu ni kama ifuatavyo:

1. Uchepukaji uliokithiri: Huyu mume wangu amekuwa akinihadaa sana. Sijawahi kuona kitu kilichoniumiza zaidi ya kugundua kuwa anatoka na wanawake wengine. Ameomba msamaha kila mara ninapomfumania, lakini bado anarudia tabia hiyo. Kesi zetu zimekuwa nyingi kwa wazazi na nadhani wamechoka kutusuluhisha.

2. Ulevi uliopitiliza: Mume wangu ni mlevi sana. Kurudi nyumbani asubuhi ni jambo la kawaida kwake. Nimeshazungumza naye na kumweleza jinsi ninavyojisikia kuhusu tabia yake ya kunywa kupindukia, ingawa anahudumia familia vizuri. Lakini, hupati muda na familia kabisa. Inanidhalilisha sana kwa sababu tunakaa na mdogo wake nyumbani, hivyo najihisi vibaya sana anaporudi asubuhi.

Ndoa yetu imefungwa kanisani na tumekuwa tukiishi pamoja kwa miaka miwili tu. Nashauriwa nifanye nini kuhusu maamuzi yangu haya, maana sijisikii furaha kabisa katika ndoa hii. Na mimi ni mchanga sana kuishi kama hivi hadi kifo kitutenganishe.
Wanaume kwa asilimia kubwa huwa tunaoa kwa ajili ya kupata mgegedo kwa urahisi na muda muafaka

Wanawake wengi wakiolewa huwa wanalinga Sana kutoa mbususu, hapo wanaume huwa tunaamua kutafuta alternative way

Mwanamke mbususu Hadi u embelezwe weee, muda huo hatuna

Hii ni shida kubwa kwa wanawake wengi japo so wote.
 
Natamani kuvunja ndoa yangu.

Habari zenu wakuu, natumai mko poa. Nimekuja na nia ya dhati kutafuta ushauri kuhusu jambo langu ambalo linanitatiza.

Mimi ni msichana mwenye umri chini ya miaka 30. Nina mtoto mmoja wa kiume. Nimekuwa katika ndoa na mume wangu kwa takriban miaka miwili sasa.

Sababu za maamuzi yangu ni kama ifuatavyo:

1. Uchepukaji uliokithiri: Huyu mume wangu amekuwa akinihadaa sana. Sijawahi kuona kitu kilichoniumiza zaidi ya kugundua kuwa anatoka na wanawake wengine. Ameomba msamaha kila mara ninapomfumania, lakini bado anarudia tabia hiyo. Kesi zetu zimekuwa nyingi kwa wazazi na nadhani wamechoka kutusuluhisha.

2. Ulevi uliopitiliza: Mume wangu ni mlevi sana. Kurudi nyumbani asubuhi ni jambo la kawaida kwake. Nimeshazungumza naye na kumweleza jinsi ninavyojisikia kuhusu tabia yake ya kunywa kupindukia, ingawa anahudumia familia vizuri. Lakini, hupati muda na familia kabisa. Inanidhalilisha sana kwa sababu tunakaa na mdogo wake nyumbani, hivyo najihisi vibaya sana anaporudi asubuhi.

Ndoa yetu imefungwa kanisani na tumekuwa tukiishi pamoja kwa miaka miwili tu. Nashauriwa nifanye nini kuhusu maamuzi yangu haya, maana sijisikii furaha kabisa katika ndoa hii. Na mimi ni mchanga sana kuishi kama hivi hadi kifo kitutenganishe.
🤣🤣🤣🤣Mmbo ya ngoswe muachie ngoswe mwenyewe kwa ushauri jichunguze wapi umekosea Kisha jirudi baada ya hapo fanya mabadiliko mneo nae atabadirika uku nje sio kuzuri usitamani kuwa single mama
 
"Ni Yeesu tu, ni Yesu.....anayeletaga jibu la maisha ...kwa wenye maswali na wenye utata....."
Ni maneno muhimu , sehemu ya wimbo.
Ukikutana na Yesu akakutengeneza, kumsaidia huyu jamaa sio ngumu.

Jamaa alikuamini kati ya wengi alopita nao kuwa utakuwa sababu ya maisha yake kubadilika.
Chukuaa hatua ya kumsaidia.

MWANAUME NI KIUMBE KILICHOPO HATARINI KUPOTEZA MWELEKEO NA KUSUDI LA MAISHA. niliona mahali maneno hayo.

Wake mnakazi kubwa ya USAIDIZI.

Usikate tamaa. Ndoa nyingi zimesimama kwa kusaidiwa na wanawake waliojielewa nafasi zao.
 
Duh Yani mtu aolewe Ili ateseke na tabia za mtu mzima mwenzie ndoa ni masikilizano kma mwenzio hapendi tabia flani ni mbaya Kuna ulazima kuiendealeza?
Je uko kwenye ndoa? na muda gani? Ndoa si rahisi kama unavyodhani!! Wazazi wako wasingevumiliana huenda usingekuwepo leo. Anayelalamika leo huenda ni kwa sababu tu ya kwake hayajafahamika!! Mbona makazini tunashuhudia wanawake hawana uaminifu kabisa, lakini waume zao hawajui!! Lakini wao wakimfuma mume makelele kibao!!
 
Je uko kwenye ndoa? na muda gani? Ndoa si rahisi kama unavyodhani!! Wazazi wako wasingevumiliana huenda usingekuwepo leo. Anayelalamika leo huenda ni kwa sababu tu ya kwake hayajafahamika!! Mbona makazini tunashuhudia wanawake hawana uaminifu kabisa, lakini waume zao hawajui!! Lakini wao wakimfuma mume makelele kibao!!
Mimi sijagusia maamuzi yake ni yake nawala sinahaja ya kujua alifanyaje huko nilichosema sio sawa kuvumilia isiwe sababu ya kuumiza mtu Kwa makusudi,sawa atavumilia na watoto wako wanaokuwa wanakuona Ulifanya ufedhuli had wanakua watakuja kuwa wazazi wa aina gani,Kuna tabia ni za kijinga kumfanyia mkeo Tena wa ndoa Hao wanawake wasio waaminifu ni juu Yao nao hatuwatetei ni kundi moja na mwanaume wa hivi,suala la kuvunja au kutokuvunja ndoa ni maamuzi yake
 
Dah pole Sana,sana
Mie nilipiga chini sababu kuu ikiwa serial cheater,
Sikushauri uvunje ndoa,manake huna ujasiri nilio nao mimi
Sikujal vya kuitwa singomaza Wala dabomaza🤣
Na mpaka wa leo nina furaha na amani tele nabtunalea watoto tukiwa mbalimbali kwa ustaarabu wa hali ya juu,huwa ananambia Ironbutterfly una roho ngumu Sana,namjibu Yap,lasivyo ningesema nikomae hadi ndoa huenda ningekuja kukutenda ubaya,manake mie kucheat siwezi vumilia abadan
Ushauri wangu😛ambania ndoa yako,huoni unavyoheshimika mtaani?usikubal uvunje ndoa,uwe singomaza Kama kina sie,sisi wenzio tuna roho za paka,wewe kwa mwandiko wako,hiyo roho huna.
So pambania ajira ya kudumu hiyo,mshauri awekeze vya kutosha kwaajil yako na watoto,kwani wachepukaj wa hivyo huwa hawachukui round🤣vumilia uje uvikwe taji
 
Bi mdada Ana utaman usingo maza nyinyi mnamshaur abaki katika ndoa ili aje ampe mzigo wake mtu mwingne ili Hali Mwenye mzigo yuko anakula maisha yake
 
Ndo ikishakuwa hivyo tafta namna ya kuishi ambayo itakuwa haikuumizi kichwa. Tafta msela wako flani awe anakupelekea moto na kukupa faraja tu without expecting anything. Utaishi kwa raha sana. Ndoa zote ndo ziko hivyo sasa ukivunja ndoa eti kisa umesalitiwa utafeli
Moyo Unaniuma Sana , Kwa sababu mimi Sijawai hata kuwaza kumsaliti Then Magonjwa mengi Now days
 
Wanawake bwana mnamambo ya ajambu. Mwanaume anayeweza kuhudumia familia utegemee awe anakugegeda wewe tuu🤣🤣🤣🤣

Wee ukitaka wako peke yako chukua akina mzabzab ambao hatuna hela na tuna vibamia. Wenye hela lazima wagegede mbussusu nyingi.

Alafu itakuwa so called bitches give him something special
Wanawake wengi walioolewa wanakuwaga na tendency ya mazoea sana na waume hasa wakishakaa muda mrefu ndoani.

Akishamzoea mwanaume automatically anaanza kubadilika na kuwa mtu wa kumkadiria. Sometimes mbunye anakubania tu. Halafu ukimpotezea ulalamishi kibao yani.

Hakufanyii mambo special tena. Anakjibu utumbo tu anavyojiskia.
 
Back
Top Bottom