Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Baada ya Miaka 2, natamani Ndoa yangu ivunjike

Muache tu baada ya muda umkute amewekwa sawa na mtu mwingine, Mimi sina cha kukushauri sababu hata nikikushauri hautochukua ushauri wangu utafanya vile unavyoona kwako ni sahihi.
 
Amani ya moyo wangu na furaha ni kitu cha muhimu sana bila kupoteza muda taraka ingehusika.
Mkuu, ungeweza kumuelewa mleta mada lazima ungeona kitu kwenye maandishi yake.
Huyu mwanamke anae jiita binti hana jeuri ya kumuacha huyo mume wake na ndio maana amekuja kuomba ushauri hapa.
Kama kweli amechoshwa na anataka kuivunja ndoa hiyo angesha ivunja kisha akaja kuleta maneno hapa.
Ebu tazama alivyo na hasira, naona kama hapa amekuja kutema nyongo ili aipate relief tu...😊
 
unaambiwa kama huwezi kuacha jifunze kuvumilia, hapo amua ku badilika wewe sasa kama ye habadiliki anyway ndo umeshaolewa achana na kuwaza talaka kwa sasa wakati bado una njia za kutetea ndoa yako, jaribu kuwa kama unampuuza usionyeshe kujali saana matabia yake jifanye tu unaona fresh tu, akirudi hiyo asubuhi mkaribishe na supu kabisa waaala usiongee yaaani jifanye ni kawaida tu ndo mmeamka wote kingine kuwa bize kufanya unavyovipenda, asipo badilika ndo useme una achia ngazi ila trust me lazima atabadilika hata kidogo, ni ngumu ila jaribu.
kwenye kujilinda kiafya utajua mwenyewe.

Kwa akili yangu hio week moja ningempa kitu cha kumfanya aumwe kidogo aharisheee huku nikiwa busy na mambo yangu
After a week aendelee na mbio zake ningempa matukio mdogo mdogo mbeleni kingeeleweka
 
Mkuu, ungeweza kumuelewa mleta mada lazima ungeona kitu kwenye maandishi yake.
Huyu mwanamke anae jiita binti hana jeuri ya kumuacha huyo mume wake na ndio maana amekuja kuomba ushauri hapa.
Kama kweli amechoshwa na anataka kuivunja ndoa hiyo angesha ivunja kisha akaja kuleta maneno hapa.
Ebu tazama alivyo na hasira, naona kama hapa amekuja kutema nyongo ili aipate relief tu...😊
Mapenzi kitu cha ajabu sana aisee
 
Nipe nafasi Mimi achana nae huyo kwenye maisha kuchokana kupo,,kuachana kupo na hakuna wa kuzuia Hilo likishajiri,,,Twende na Mimi Mamii Kama hutojali!!
 
Natamani kuvunja Ndoa yangu

Habari zenu wakuu ,Hope Mko Poa. Nimekuja na New ID kutaka Userious kwenye hili Jambo langu linalo nitatiza.

Moja kwa moja kwenye Mada Mimi Ni Msichana Age below 30 .Ni mama wa mtoto Mmoja wa Kiume . Niko kwenye Ndoa na Huyu mume wangu almost two years Now.

The reason behind Ya Hayo Maamuzi yangu ni kama Ifuatavyo
Uchepukaji uliokithiri, Asee Huyu Jamaa Ni Mchepukaji Sijawahi Ona na kitu Kilichoniumiza zaidi ni Siku Niliyo gundua He Even Do Bitches. And He always Admit ukimfumania na anasema ataacha lkn Holla. Within this two Years Kesi zetu zishakua Nyingi kwa wazazi Nadhani Wamechoka kutusuluhisha Now.

Mlevi alio pitiza, The Guy ni mlevi Mno, Kurudi Asubuhi kwake ni kitu cha Kawaida Sana. Nimeshaongea Ad Nimechoka. though Familia anahudumia vizuri tu. Lkn Hapati muda na Familia Kbsaa. It real embarass me coz Tunaishi na Mdogo ake hapa Nyumbn So Najiskia viby Sana Kitendo cha yeye kurudi Asubuhi.

Ndoa yetu ni ya Kanisani na Tuna miaka 2 tu Ndoani. Mnashauri Nifanye Nini Ndugu zangu kuhusu ayo Maamuzi yangu Maana Actualy Sina Furaha Kwenye hii Ndoa. And am just too young to live like this til death do us Apart.
Mimi sio mvulana so naeza kushauri. Kama haujazaa naye unaeza achana ila kama mna watoto sont dare mtatesa watoto. And wewe kuolewa
 
Back
Top Bottom