Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,784
- 8,662
Jina hufikisha ujumbe. Nadhani kwa jina lake hill ujumbe unaupata ndio maana ukalidadisi jina. Hivi ni sahihi kwa Mh. Msigwa kutumia cheo "Mchungaji"?Unachafua sana hilo jina unalotumia, usidhihaki watumishi wa Mungu. Hilojina haliendani hatakidogo na kariba yako humu jukwaani.
Ki-busara ungeweza tumia 'johnthedictator' au johnthejiwe au hats johnthefearful