Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,680
- 218,189
- Thread starter
- #41
umewahi kuhudhuria mafunzo ya kijeshi ?amenyolewa upara, na mbowe alivuliwa nguo uchi wa mnyama mbele ya wafungwa 300 na kunya kwenye ndoo ya bati hatari sana
umewahi kuhudhuria mafunzo ya kijeshi ?amenyolewa upara, na mbowe alivuliwa nguo uchi wa mnyama mbele ya wafungwa 300 na kunya kwenye ndoo ya bati hatari sana
Naona kuna funzo hapo, au hulioni?amenyolewa upara, na mbowe alivuliwa nguo uchi wa mnyama mbele ya wafungwa 300 na kunya kwenye ndoo ya bati hatari sana
Ulisema umechangia milioni kumi wakati Salum Mwalimu kasema umechangia jero! Ahahahahah! Kuwa nyumbu raga sana kwa wajinga!View attachment 1387272
View attachment 1387273
Ataongea kuanzia saa 8 mchana Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa
Hakuna jipya......kesi imeisha sasa imarisheni chama!
Mchungaji Msigwa kalipiwa na wanafamilia!
Mimi nimechangia mil 15 , wala siyo 10 kama unavyodai , huyo Salum kazungumzia majority , sisi matajiri wachache tumemwaga hela za kutosha , mwenzangu Nyalandu kaweka nyaraka hadharani ya mil 7 , hiyo nayo hujaona ?Ulisema umechangia milioni kumi wakati Salum Mwalimu kasema umechangia jero! Ahahahahah! Kuwa nyumbu raga sana kwa wajinga!
Wewe kapuku endelea kutumikishwa , achana na chademaAchunge tu kauli zake. Hawa hawajajipanga. Kila mtu anaongea, heche anaongea, halima anaongea, msigwa anaongea, mwalimu anaongea na mbowe anaongea.
Walikuwa na kiherehere gani? Kwa nini wasingesubiri watoke wote kisha waitishe press conference ya pamoja.?
Inaonyesha jinsi walivyokuwa wakurupukaji. Sasa mbowe ataongea nini maana hakuna jipya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa safari mkuu
Chadema nilishakitema muda. Mi sio mfu. Nimewaacha wafu mzikane.Wewe kapuku endelea kutumikishwa , achana na chadema
Kama nyinyi munavo imarisha kununua wapinzaniHakuna jipya......kesi imeisha sasa imarisheni chama!
Kwahiyo kumbe mumekubali kama munawanunuaHana bei huyo
In God we Trust
Kwanini hilo suala usimulize hakimu simba ambaye sahivi nafsi yake inamsuta huko aliko
Kama wabunge wa cm wanavo kurupuka kwa kuitikia ndio bunge waulizwe Leo na spika korona ije Tanzania ww watajibu ndio ???Achunge tu kauli zake. Hawa hawajajipanga. Kila mtu anaongea, heche anaongea, halima anaongea, msigwa anaongea, mwalimu anaongea na mbowe anaongea.
Walikuwa na kiherehere gani? Kwa nini wasingesubiri watoke wote kisha waitishe press conference ya pamoja.?
Inaonyesha jinsi walivyokuwa wakurupukaji. Sasa mbowe ataongea nini maana hakuna jipya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu hajasema majority. Amesema nanukuu, "Sijaona slip ya 50,000/=, nimeona za 1000, 700 na 500". Mwisho wa kunukuu. Wewe ni nyumbu tu. Wadanganye nyumbu wenzako. Kama vipi weka slip yako ya milioni 15 unishushue kama una ubavu!Mimi nimechangia mil 15 , wala siyo 10 kama unavyodai , huyo Salum kazungumzia majority , sisi matajiri wachache tumemwaga hela za kutosha , mwenzangu Nyalandu kaweka nyaraka hadharani ya mil 7 , hiyo nayo hujaona ?
Halafu unatakiwa kuelewa kwamba jambo hili tumeamua kuhusisha umma kwa malengo maalum , vinginevyo mimi binafsi ninao uwezo wa kulipa mil 350 bila hata kutetereka kibiashara
Unachafua sana hilo jina unalotumia, usidhihaki watumishi wa Mungu. Hilojina haliendani hatakidogo na kariba yako humu jukwaani.Hakuna jipya......kesi imeisha sasa imarisheni chama!