BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
Wizara ya TAMISEMI ni Injini ya Taifa letu. Hii Wizara inamgusa kila mwananchi. Asilimia zaidi ya 60 ya Watumishi wa Umma wanasimamiwa na TAMISEMI.
Sasa Wizara hii ikiongea ujue kuna jambo na leo Jumatano Machi 20, 2024 Waziri wa Wizara hii Injini ya Taifa, Mhe. Mohamed Mchengerwa anazungumza na Vyombo vya Habari kuanzia saa 5 asubuhi hii. Itakua Mubashara TAMISEMI TV, usikose kufuatilia kujua TAMISEMI ina nini. Saa 5 asubuhi hii.
Sasa Wizara hii ikiongea ujue kuna jambo na leo Jumatano Machi 20, 2024 Waziri wa Wizara hii Injini ya Taifa, Mhe. Mohamed Mchengerwa anazungumza na Vyombo vya Habari kuanzia saa 5 asubuhi hii. Itakua Mubashara TAMISEMI TV, usikose kufuatilia kujua TAMISEMI ina nini. Saa 5 asubuhi hii.