Heparin
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 127
- 420
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini, maarufu kama wiki ya Maandamano yatakayofanyika kuanzia Aprili 22-30, 2024.
Aidha, amewatangazia Diaspora kufanya maandamano makubwa kwenye miji mikubwa Duniani kupeleka Ujumbe duniani juu ya mambo yanayoendelea nchini.
Kamati kuu ya Chama hicho imepanga wiki hiyo ili kuwapa nafasi waumini wa dini zote kumaliza mfungo wao.
Aidha, amewatangazia Diaspora kufanya maandamano makubwa kwenye miji mikubwa Duniani kupeleka Ujumbe duniani juu ya mambo yanayoendelea nchini.
Kamati kuu ya Chama hicho imepanga wiki hiyo ili kuwapa nafasi waumini wa dini zote kumaliza mfungo wao.