Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,632
- 218,062
- Thread starter
- #21
Dr Slaa aliponzwa na njaaHuyu ataingia laini kama Dr.Slaa
Dr Slaa aliponzwa na njaaHuyu ataingia laini kama Dr.Slaa
Hujajotambua bado.Hakuna jipya......kesi imeisha sasa imarisheni chama!
View attachment 1387272
View attachment 1387273
Ataongea kuanzia saa 8 mchana Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa
Kila anaetoka Segerea anatangaza kufa press conference! Wameanza wakina mdee hatujui ata waliongea nn mwisho wa siku
Mimi baada ya kupata hii habari nilikuwa huku sumbawanga nimeamua kuanza safari na sasa nipo njiani nitalala angalau Iringa ili asubuhi nianze safari nikawepoView attachment 1387272
View attachment 1387273
Ataongea kuanzia saa 8 mchana Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa
Hakuna jipya......kesi imeisha sasa imarisheni chama!
Kwamba,bado uko imara, tunamshukuru Mungu kwa hadhina hii ya viongozi wa upinzani ambao pamoja navitisho Vya kimahakama, dola na hats vifo bado wapi imara kututetea na kuitetea demokrasia yetu. We Mungu wabariki viongozi wetu
Mbona kanyolewa nywele?
Wangejichanganya kwa Mwambe saa hii chama mingekua kinaelea mto rufiji
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri naye atatuambie jinsi alivyokuwa analima huko gerezani kama ambavyo alivyotueleza Mh. Heche. Ngoja tusubiri movie nyingine ya wanachadema.
wafungwa wa Tanzania hunyolewa nywele
Katika list ambayo imeumiza vichwa vya ccm kuanzia Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli uyu jamaa hawatomsahau kawayumbisha kweli.
View attachment 1387272
View attachment 1387273
Ataongea kuanzia saa 8 mchana Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa
Huyu ataingia laini kama Dr.Slaa
Hamna kitu ni usanii mtupuKwamba,bado uko imara, tunamshukuru Mungu kwa hadhina hii ya viongozi wa upinzani ambao pamoja navitisho Vya kimahakama, dola na hats vifo bado wapi imara kututetea na kuitetea demokrasia yetu. We Mungu wabariki viongozi wetu
Karibu sana kamandaMimi baada ya kupata hii habari nilikuwa huku sumbawanga nimeamua kuanza safari na sasa nipo njiani nitalala angalau Iringa ili asubuhi nianze safari nikawepo
In God we Trust
Karibu sana kamanda