Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,010
- 5,837
Mara nyingi sirro huwa anategemea nguvu ya konyagi
Kwa yale anayoyafanya unaona anatumia kichwa chake sawa sawa ?Sirro kuanzia olevel hadi advance alikuwa anawaburuza watu kile ni kichwa hatari angeamua kuingia kwenye siasa angekua mtu mkubwa sana
Exactly, such a man can not think because he has no reason to think as he will use his power to solve problems and not reasonHiyo siku itakuwa poa sana, mtu anaependa kukoroma kwa sababu ya kulindwa na mamlaka/madaraka aliyonayo akiwa nje ya hapo ni mdogo kam piriton.
Huyo jamaa atakuwa nyumba ndogo ya Siriacha utani wewe
Basi PhD itakuwa takataka
Na je hayo madawa yapo wapi? .Kwanini watuhumiwa walikutwa na madawa ya kulevya lakini maelezo hayo hayapo kwenye hati ya mashitaka? Au madawa ya kulevya yamehalalishwa siku hizi?
Mara nyingi sirro huwa anategemea nguvu ya konyagi
Ku-hold? Mbona hata mwehu anaweza ku-hold nguzo ya umeme.😝😝😝😝😝Sirro anahold phd ya sheria udsm
Phd nyingi za kibongo bongo ni za kipumbavuSirro anahold phd ya sheria udsm
Thinking na reasoning ya kitoto. Unajua kuwa Kuna kitu kinaitwa tacit knowledge?Sirro kuanzia olevel hadi advance alikuwa anawaburuza watu kile ni kichwa hatari angeamua kuingia kwenye siasa angekua mtu mkubwa sana
kwa akili zile?hiyo phd imemsaidia nini kwa matamshi anayolopokaSirro anahold phd ya sheria udsm
Nimeiona tweet ya RPC Kingai, anaomba radhi kwa kitendo cha kuomba kwenda kukojoa, ni kwasababu ana maradhi ya kisukari lakini amesema leo atavaa pampasi.
Kufa kwa stress Tanzania ni kujitakia, hawa ndiyo viongozi wa juu wa serikali.Aisee
Sirro kuanzia olevel hadi advance alikuwa anawaburuza watu kile ni kichwa hatari angeamua kuingia kwenye siasa angekua mtu mkubwa sana
Ku-hold? Mbona hata mwehu anaweza ku-hold nguzo ya umeme.
Hivi ni kweli Sirro ana PhD ya sheria??Kusoma na ku apply ulicho kisoma in real life, ni vitu viwil tofauti...
that's why if u tell someone tht Jamaa ana Phd, Ni kazi kukuamini.