Baada ya ACP Kingai kuonja joto la kutoa ushahidi, tutegemee nini toka kwa ushahidi wa IGP Sirro?

mshale21

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
2,049
4,904
Jana 15/9/2021, Tulishuhudia ACP Ramadhan Kingai akitoa ushahidi mahakani juu ya kesi ya kigaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, Tuliona namna alivyowashiwa Moto wa mahojiano na mawakili wa utetezi kiasi kwamba akaanza kujichanganya na kupelekea watu hapa jukwaani kuhoji CV yake!

Ikumbukwe kuwa, wakili msomi, Peter Kibatala, aliiomba mahakama kuwa IGP Sirro awe shahidi upande wa utetezi na ijumaa alitajwa rasmi kuwa mmoja Kati ya mashahidi upande wa utetezi!

Tutegemee nini kutoka kwa IGP Sirro?

Atahimili na kustahimili joto la kizimba, au naye atajichanganya?

___________________________________

NB: Kesi itaendelea Leo saa 4:00 asbuhi, ACP kingai akiendelea kuhojiwa na upande wa utetezi.
 
Back
Top Bottom