Tanzania hata kwa Africa haiko kwenye top three countries. Kwa rasilimali zetu inabidi tushindane na France wanaopata watalii zaidi ya 82 millions kila mwaka.
Hata tukipata 20 millions kila mwaka. Wanalipa pesa ya visa, usafiri, Malazi,chakula ni pesa nyingi sana. Kama kila mtalii anatumia 400 USD hapa bongo hiyo ni zaidi ya 10 billionsb USD kila mwaka.
Inabidi tufanye kuwa rahisi watalii kupata visa, tujenge hotels, miundombinu na kufanya JKIA kuwa international hub ya East, Central and Southetn Africa.