ATCL kuanza direct flights to Mumbai

ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Kuna member aliwahi kusema kua kunatofauti kubwa sana kati ya maneno upinzani na opposition. Waliopo Tanzania sio opposition party bali ni vyama vya upinzani.
 
Mkuu Baka hajawahi kutoa mawazo ya nini kifanyike tofauti na hilo serikali unalofanya. You either comment kwenye negative comment unazotaka kusikia au kushangilia upuzi ikiwa tu ni against serikali! Nani zwazwa kama sio wewe. Huwa nafurahi kusoma mawazo mbadala hata kama hayana maana na siyo uchangiaji wa aina yako. Jikomboe kiakili mkuu

MAZWAZWA ndivyo walivyo Mkuu wanaimbishwa nyimbo kila kukicha zilizojaa upuuzi na ambazo hazina maslahi kwa Watanzania.
 
Sijaponda ila nime-think Critically. Cha muhimu ilikuwa ni kujiimarisha katika route za mikoani na nchi jirani ili ATCL iweze ku-feed Emirates. Juzi imeshuhudiwa Emirates wakifanya utafiti wa JNIA kuweza kuhudumia ndege kubwa kwa kusingizia kuwa hali ya hewa ya Mauritius ilikuwa mbaya. Wale walikuwa kwenye utafiti.
Hapa umeongea vizuri. Umeshauri nini kifanyike na kwa mtazamo wako tujiimarishe kwanza kwenye route za mikoani na nchi jirani. Umepinga vizuri.
 
Ni swala zuri sana ila je abiria wapo kiasi gani? Isije kuwa kama KQ walienda wakaamua kupunguza safari maana ndege ilikua yarudi robo.

Afu ni ngumu MTU kuacha Emirates, Qatar na Etihad kupanda ATCL/KQ
Kwanza ni ajabu kupanda ndege yenye turbo propeller engine na kuacha ndege yenye jet engine ambayo haipati misukosuko angani na inatumia muda mfupi kukamilisha safari
 
Sawabo ametoa wazo kwa mtizamo wake ambao sio lazima uwe sahihi. Hii ni assumption tu na ATCL tusiwadharau kuwa hawajui wafanyalo. Kuna opinions hapa JF zitokanazo na kusikia, kugoogle, lakini sio lazima ndio suluhisho. Bado naamini atcl kafanya uchunguzi kabla ya kuamua. Kuna wataalamu ATCL kuzidi sisi bush lawyers wa JF.

Hapa umeongea vizuri. Umeshauri nini kifanyike na kwa mtazamo wako tujiimarishe kwanza kwenye route za mikoani na nchi jirani. Umepinga vizuri.
 
Huelewi kitu Mkuu ni vizuri ukaficha aibu yako. Iweje utumie turbo prop kwa India???

Kwanza ni ajabu kupanda ndege yenye turbo propeller engine na kuacha ndege yenye jet engine ambayo haipati misukosuko angani na inatumia muda mfupi kukamilisha safari
 
Na ni hatua nzuri coz kutoka nje itakuwa si lazima upitie Kenya au kanchi kadogo kama Rwanda. Kumbuka mizunguko hii yote inakufanya utumie pesa nyingi njiani hasa kipindi cha kuconnect flight.

Kabisa, Dubai, Singapore ni hubs /Vituo vikubwa.Tukifanya JKIA kuwa hub kama Dubai ya East, Central and South Africa tutapata pesa sana. Drc, Malawi, Uganda, Burundi, Rwanda, Zambia, Mozambique wote wawe wanapitia hapa kwetu kutransit.

Tanzania tunaweza kuwa hub / kituo kikubwa kwenye roads / Barabara, Angani/Air transport, reli/ Railways, bandari / ports, soko kuu kama Dubai, Hong Kong.


Kinachotakiwa kukuza uwezo wetu wa kufikiri, kupanga na kutekeleza. Sasa kama hatuwezi kufanya kwanini tusiajiri watu watufanyie na kusimamia hivi vitu.

Kwa kila mzigo na kila abiria tunapata asilimia zetu, ukiweka chakula, makazi, Usafiri nk, kuna pesa ndefu sana hapa.
 
Sawabo ametoa wazo kwa mtizamo wake ambao sio lazima uwe sahihi. Hii ni assumption tu na ATCL tusiwadharau kuwa hawajui wafanyalo. Kuna opinions hapa JF zitokanazo na kusikia, kugoogle, lakini sio lazima ndio suluhisho. Bado naamini atcl kafanya uchunguzi kabla ya kuamua. Kuna wataalamu ATCL kuzidi sisi bush lawyers wa JF.
Yaap. Kila mtu ana mtazamo na hilo lazima liheshimiwe. Hata wewe kuwaza kuwa sisi ni bush lawyers ni mtazamo wako na tunatofautiana hapo. La muhimu ni tusipinge tu sababu tunapinga. Tutoe mtazamo mbadala na tuzingatie Utaifa kwanza.
 
  • Thanks
Reactions: NOD
Kwakua
Mawazo mazuri ukiondoa hilo la wahudumu. Ebu panda KLM, Swiss, Njoo huku US uniambie kama kuna mhudumu wa kuvutia kama wetu



aea
Kwakuwa tunaanza basi yatupasa tuanze kwa ubora na ufanisi wa hali ya juu! KLM wao washafuzu hivyo tusiwaige kwa hilo!
 
Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!
Mkuu unamacho kama ya kwasi hiyo comming iko wapi kwenye tangazo
 
Back
Top Bottom