ATCL kuanza direct flights to Mumbai

ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Hivi kumbe Emirates zilikuwa zinatua JNIA mbili kwa siku kipindi JK? Hilo nimelifahamu leo, seriously!!!
Qatar ilikuwa inamwaga saa moja Asubui na SAA nane mchana,Emirates SAA nane na SAA NNE usiku kila siku yaani nyomi,ukikubaliwa na Mungu chochote ufanyacho ni BARAKA tu.
 
Mkuu si ulisikia tawi la crdb chato kabla ya kuanza Magu ndo alifanya tafiti? basi ujue na hilo tangazo na hiyo route inawezekana ni matokeo ya utafiti wa Magu! si unajua anajua kila kitu!
Halafu kweli bana hahaha
 
sawabho, POLE KWA KUOA MHA WA KWENU -HIVI HUKUWAONA WAHINDI NA WAARABU WAREMBO- UNGEENDA TU LUHUMBO

Swali la Kizushi Any Time Cancellation Limited (ATCL) wana ndege ngapi kwa ajili ya hiyo route? Tuanzie hapo? Na kati yenu nani aliwahi kupanda KQ direct flight from Nairobi hadi Bangkok ? Kama una majibu hayo jiulize kwa nini Emirates wanaruka Dar - Dubai- Mumbai those are the economics of airline trade! Itakwenda mara ngapi kwa wiki ukiwa na ndege moja? Kweli Biashara imevamiwa na Washamba mpaka kieleweke hiyo KQ it has has made loss of millions of dollars Mwaka Jana tu tena za wanahisa sio hii ATCL inayopata fedha kutoka kwa Doto tena za walipa kodi ! We call it going for glory! No research no right to comment ! Hata hiyo Air India it made a loss of 8 billion dolars halafu munaleta za kuleta kuhusu ATCL. KQ are partners with KLM and Air France you want to compete with them you are not serious !
 
Mimi si mtaalam wa masuala ya anga lakini navoona ndege sahihi ambayo ingepependeza zaid na gharama ndogo ingekuwa bombardier cs 300 kutokana uwezo na pia ndio kwanza tunaanza, pia penetration iwe katika price ndogo tu kwa point kuwa, wasafiri wengi wa hii njia kuwa wale wabahiri.
Uwezo cs
Maximum range 6117 km
Passenger capacity130 into two classes, 160 in one class
Distance ya kutoka DSM mpka Mumbai ni 4905 km ha kuna bakio LA kama km kadhaaa za ujazo
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Dah.....watanzania wa kweli watapanda....wenye uchungu na nchi yao.....
 
Ukienda huko kwa watalii wachache ndio wataongezeka...!!walikuwa hawaji partly because hakukuwa na direct flight.
Hapo Arusha nimekaa kwenye sekta ya utalii miaka 18 sijawahi kuona mtalii Muhindi hata wakati Pakistani Airways ilikuwa inatua KIA kupitia Bombay (Mumbai) toka Karachi
 
Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!
Kwahiyo ulikuwa unashauri nini
 
Hapo Arusha nimekaa kwenye sekta ya utalii miaka 18 sijawahi kuona mtalii Muhindi hata wakati Pakistani Airways ilikuwa inatua KIA kupitia Bombay (Mumbai) toka Karachi
Hii route itatusaidia sana kibiashara siyo ki utalii.
 
Swali la Kizushi Any Time Cancellation Limited (ATCL) wana ndege ngapi kwa ajili ya hiyo route? Tuanzie hapo? Na kati yenu nani aliwahi kupanda KQ direct flight from Nairobi hadi Bangkok ? Kama una majibu hayo jiulize kwa nini Emirates wanaruka Dar - Dubai- Mumbai those are the economics of airline trade! Itakwenda mara ngapi kwa wiki ukiwa na ndege moja? Kweli Biashara imevamiwa na Washamba mpaka kieleweke hiyo KQ it has has made loss of millions of dollars Mwaka Jana tu tena za wanahisa sio hii ATCL inayopata fedha kutoka kwa Doto tena za walipa kodi ! We call it going for glory! No research no right to comment ! Hata hiyo Air India it made a loss of 8 billion dolars halafu munaleta za kuleta kuhusu ATCL. KQ are partners with KLM and Air France you want to compete with them you are not serious !
Wabishi hao hawatakuelewa!
 
Kapustakasha, Emirates wana hub dubai that is why wana connect ndege zote hapo, ndio business model yao. Pili angalia location ya nchi hizi mbili. Tatu kwanini serikali ya Kenya imeendelea kuwekeza KQ pamoja na hasara. Nne ukiwaza kisiasa unapoteza hate credibility ya kutumia elimu yako. Msukuma, Mbowe, kibajaji, Lema, na wewe hakutakuwa na tofauti katika kuwakilisha hoja za kitaalamu. Business strategy ya kila shirika nI unique na sidhani ATCL anahaja ya kuiga KQ au Emirates, afanye kitofauti atafanikiwa tu. Negativity yako ni ya kisiasa na haina mashiko wala uhalisia


QUOTE="Kapustakasha, post: 26979436, member: 386223"]Swali la Kizushi Any Time Cancellation Limited (ATCL) wana ndege ngapi kwa ajili ya hiyo route? Tuanzie hapo? Na kati yenu nani aliwahi kupanda KQ direct flight from Nairobi hadi Bangkok ? Kama una majibu hayo jiulize kwa nini Emirates wanaruka Dar - Dubai- Mumbai those are the economics of airline trade! Itakwenda mara ngapi kwa wiki ukiwa na ndege moja? Kweli Biashara imevamiwa na Washamba mpaka kieleweke hiyo KQ it has has made loss of millions of dollars Mwaka Jana tu tena za wanahisa sio hii ATCL inayopata fedha kutoka kwa Doto tena za walipa kodi ! We call it going for glory! No research no right to comment ! Hata hiyo Air India it made a loss of 8 billion dolars halafu munaleta za kuleta kuhusu ATCL. KQ are partners with KLM and Air France you want to compete with them you are not serious ![/QUOTE]
 
Hujaona business plan ya ATCL ili u-conclude! Nafikiri watakuwa na cs 300 pia baadae. Kuna sababu kwanini waanze na hii kubwa.
Mimi si mtaalam wa masuala ya anga lakini navoona ndege sahihi ambayo ingepependeza zaid na gharama ndogo ingekuwa bombardier cs 300 kutokana uwezo na pia ndio kwanza tunaanza, pia penetration iwe katika price ndogo tu kwa point kuwa, wasafiri wengi wa hii njia kuwa wale wabahiri.
Uwezo cs
Maximum range 6117 km
Passenger capacity130 into two classes, 160 in one class
Distance ya kutoka DSM mpka Mumbai ni 4905 km ha kuna bakio LA kama km kadhaaa za ujazo
 
Dah.....watanzania wa kweli watapanda....wenye uchungu na nchi yao.....
Wanagapi wanaoenda huko amabo watawezesha Shirika kujiendesha. Sina nia mbaya lakini unatakiwa kuwa Critical Thinker. Aidha, kuna ndege ngapi za kufanya hiyo route, yaani ndege moja tu ndo iwe mwenda-rudi - mwenda. ATCL inatakiwa kujiimarisha mikoani na nchi jirani ili iweze ku-feed Emirates ambao juzi wameonekana wakitafiti soko la Tanzania kwa kuleta ndege kubwa iliyotua Dar na kudanganya kuwa hali ya hewa Mauritius ilikuwa mbaya. Hakukuwa na hali ya hewa mbaya, bali walikuwa kwenye utafiti wale.
 
Watanzania nimeamini sisi walio wengi ni wajinga nafu ya mkundu, kwa vile rais alisema tukiwa na ndege zetu zitabeba na kuvutia watalii basi washenzi flan wanafikiri ndege zinakuja kwa ajili ya kubeba watalii tu
 
Back
Top Bottom