ATCL kuanza direct flights to Mumbai

ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!
dua la kuku
 
Siku Magufuli akiondoka madarakani hizi ndege zitageuzwa "air unga".
well said..............inabidi kuwekwe mfumo wa kuwa na uongozi wa aina ya magufuli kwa kipindi cha miaka kama 30 mfululizo hivi....akiondoka 2025....tutafute mwingine atakayekuja kuendeleza haya aliyoanzisha
 
well said..............inabidi kuwekwe mfumo wa kuwa na uongozi wa aina ya magufuli kwa kipindi cha miaka kama 30 mfululizo hivi....akiondoka 2025....tutafute mwingine atakayekuja kuendeleza haya aliyoanzisha
Shida ni kwamba kiongozi aina ya Magufuli hupatikana kila baada ya miaka hamsini,Juliasi Kambarage Nyerere na huyu wa leo tofauti ya miaka hamsini.
 
Shida ni kwamba kiongozi aina ya Magufuli hupatikana kila baada ya miaka hamsini,Juliasi Kambarage Nyerere na huyu wa leo tofauti ya miaka hamsini.
hahahahahahahahahahaahahahahah.........................now we have to go back and sit down and critically think how we can build strong institutions .....however, it has been proven without dought from empirical evidence that, it is people and not institution which matter critically for sustainability and development
 
Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!

Tangazo siyo feki na hakuna spelling iliyokosewa. Maneno yako na shauku yako vilishashindwa na kulegea kabla serikali haijapata maono ya kufufua Air Tanzania. Utakuwa unaumia sana utakapokuwa unashuhudia the Dreamliner ikijaza abiria na idadi ya dreamliners ikiongezeka. Itakuwa vyema ukianza kujifunza kung'oa mizizi ya uchungu inayokufanya utarajie mambo hasi tu na usifurahie hata mafanikio yako mwenyewe.
 
Swali la Kizushi Any Time Cancellation Limited (ATCL) wana ndege ngapi kwa ajili ya hiyo route? Tuanzie hapo? Na kati yenu nani aliwahi kupanda KQ direct flight from Nairobi hadi Bangkok ? Kama una majibu hayo jiulize kwa nini Emirates wanaruka Dar - Dubai- Mumbai those are the economics of airline trade! Itakwenda mara ngapi kwa wiki ukiwa na ndege moja? Kweli Biashara imevamiwa na Washamba mpaka kieleweke hiyo KQ it has has made loss of millions of dollars Mwaka Jana tu tena za wanahisa sio hii ATCL inayopata fedha kutoka kwa Doto tena za walipa kodi ! We call it going for glory! No research no right to comment ! Hata hiyo Air India it made a loss of 8 billion dolars halafu munaleta za kuleta kuhusu ATCL. KQ are partners with KLM and Air France you want to compete with them you are not serious ![/Q
Kiukweli, binafsi siwezi acha kupanda emirates nikapande atcl. No way. (brand loyalty)

Hii ndege lengo lake ni kuwa "ambulance" kwanini wasingeweka direct route ya guangzhou china inayotumiwa na wafanyabiashara wengi wa kitz?

Kwani hao wagonjwa na wasindikizaji watapanda bure? Kuna ubaya gani kwa shirika kutumia fursa ya kuwepo kwa "wagonjwa" wengi wanaokwenda na kurudi India kufanya biashara? Unaonaje ukiambatisha hapa taarifa ya utafiti wako wa soko la Guangzhou dhidi ya soko la Mumbai ili tulinganishe tuone kama wamekosea?
 
Kwani hao wagonjwa na wasindikizaji watapanda bure? Kuna ubaya gani kwa shirika kutumia fursa ya kuwepo kwa "wagonjwa" wengi wanaokwenda na kurudi India kufanya biashara? Unaonaje ukiambatisha hapa taarifa ya utafiti wako wa soko la Guangzhou dhidi ya soko la Mumbai ili tulinganishe tuone kama wamekosea?
Point is, route ya kwenda china ingekuwa viable zaidi kwa shirika letu changa.
 
Ruti nzuri sababu Tz kuna wahindi wengi sana wanafamilia huku tanzania na india pia. Pia kuna watu wengi sana wanaenda kusoma, biashara na kufanya kaz india.
 
Back
Top Bottom