ATCL kuanza direct flights to Mumbai

ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Hujaona business plan ya ATCL ili u-conclude! Nafikiri watakuwa na cs 300 pia baadae. Kuna sababu kwanini waanze na hii kubwa.
Nimesema hivo sababu miongoni mwa ndege ambazo zinatarajiwa kupokelewa mwaka huu ni pamoja cs300 mbili
 
Tunapinga kila kitu kwasababu mnaharibu na kuvuruga kila kitu.
Mosi mimi si uvccm pili orodhesha vyote walivyoharibu na kwanini wewe unaona wameharibu

Cha pili wewe ni mpingaji na si mshauri wa kila kitu toka enzi za JK cha kushangaza siku hizi unamsifia nahisi awamu ya sita unamsifia jpm
 
Kwani ndege za etihad na zingine huwa wanapanda warabu tu. Ss hatujanunua ndege za kupanda cc wenyewe
 
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
Duuh wagonjwa wa India wamepatiwa ambulance
 
Watalii ni mojawapo ya wateja...ila pia safari za kutoka Mumbai mpaka Dar es Salaam ina wasafiri wengi.....kuna wahindi na wachina wengi wana business zao Tanzania pia kuna wafanyabiashara wengi wa kitanzania wanafanya business na Nchi za Asia......hapo itategemea na price setting ila soko lipo
Wahindi hawa hawa unao wanyanyasa, tatizo hata wateja kama wapo, ila roho mbaya yako itawafanya watu wakatae vitu vyako hata kama ni vizuri, hasa kama kuna options ataacha kitu chako tu.
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Unafikiri kila mtu ni malaya kama wewe, ndege zetu ni za kisasa kuliko airbus, airbus inasifika kwa ukubwa tu ila haifikii boeing, matajiri wote hakuna mwenye airbus hata trump anatembea na boeing
 
Watalii ni mojawapo ya wateja...ila pia safari za kutoka Mumbai mpaka Dar es Salaam ina wasafiri wengi.....kuna wahindi na wachina wengi wana business zao Tanzania pia kuna wafanyabiashara wengi wa kitanzania wanafanya business na Nchi za Asia......hapo itategemea na price setting ila soko lipo
Naungana na wewe, hii itategemea na bei ila kama ni abiria hii route inao wengi sana.. mara ya mwisho nilipanda Ethiopian return ticket Dar-Mumbai ilikua dollar 450 na ndege ilikua imejaa mapema tu

Natamani nione mawazo ya mtaalamu wa hii tasnia mkuu barafu
 
Qatar ilikuwa inamwaga saa moja Asubui na SAA nane mchana,Emirates SAA nane na SAA NNE usiku kila siku yaani nyomi,ukikubaliwa na Mungu chochote ufanyacho ni BARAKA tu.
Miaka gani mkuu, sorry nataka tu kujua.
 
Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!
Usiwakatishe tamaa ATCL bwana.Try not to be negative.ATCL=Tanzania= Me and You.Mungu ibariki Tanzania
 
Ni mwendo wa kukurupuka tu Mkuu na matokeo yake ni hasara kubwa kwa Taifa. Umepotea sana humu Mkuu.
Hali ya hewa imechafuka jamvini kwani hakuna constructive debates and enagaments kama zama zile ambazo lengo ilikuwa to get a solution. Unaweza poromoshewa mitusi ukajilaumu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Watakuwa wanatumia siku ngapi kama kutoka Canada walitumia siku tano badala ya mbili, cjui wajaribu waone
 
Ni kweli kabisa Mkuu nazimiss sana enzi zile ambazo kulikuwa hakuna matusi kabisa humu. Buku 7 wameiharibu JF kwa kujua hawana uwezo wa kujenga hoja basi huishia kurusha matusi hata ya nguoni.

Hali ya hewa imechafuka jamvini kwani hakuna constructive debates and enagaments kama zama zile ambazo lengo ilikuwa to get a solution. Unaweza poromoshewa mitusi ukajilaumu.
 
Maponjoro wenzio waje Tanzania kutalii
UFIPA kwenye hii thread wame chachamaa, Mbowe azipanda kuzungukia biashara zake tupunguze ujuaji

Tupunguze ujuaji tunataka watalii watakao toka direct Asia, ulaya
 
Back
Top Bottom