ATCL kuanza direct flights to Mumbai

ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Siamini kama hii inaweza kuwa strong reason kwa mtalii kweli aliyezamilia kuja Tanzania, kukosa direct hakumfanyi mtu kushindwa kuja kutalii Tanzania maana Connection nyingi sana zipo kutoka Mumbai to Bongoland.. Ni habari njema kama kweli tumefanya research kibiashara..

Kwangu mimi tatizo la Tanzania kukosa watu wengi wa in and out ndio tatizo linaloleta ugumu wa International flight.. In and out huletwa na mzunguko wa kibiashara wa eneo husika unavutia watu kuja kutrade in and out.. Nairobi kwa mfano tubaweza kusem ni business hub maana international firm nyingi sana zinaoperate pale, wakenya wamejitahidi Kwenye small industries with high value pamoja na process industries zinazoatract ndege za mizigo kutua Jomo kenyata.. High efficiency Mombasa port imeifanya pia nairobi kuwa business hub na kuwepo na flight nyingi from nairobi to Mombasa dairy na baadhi ya mashirika makubwa kama Rwandanair kutua pia mombasa...
Mkuu abiria wanaoingia na kutoka Tanzania wanazidi kuongezeka. Ndege kama Qatar, Emirates, Ethiopian etc zinakuja kila siku na zinajaza hasa wachina na wahindi ambao hulazimika kupitia kwenye main hub zao ie.Doha, Dubai na Addis Ababa. Sasa Air Tanzania ikufanya direct route itaweza kupata wateja. Lazima tuanza kidogo kidogo..
 
tatizo la watanzania wasafiri wa ndege kibinafsi si wengi tusubiri asara
 
Qatar ilikuwa inamwaga saa moja Asubui na SAA nane mchana,Emirates SAA nane na SAA NNE usiku kila siku yaani nyomi,ukikubaliwa na Mungu chochote ufanyacho ni BARAKA tu.
Umejiuliza hao abiria wako wapi siku hizi? Na kama nchi tulifaidi kwa kiasi gani? Hizo zote zilikuwa mishe mishe zisizo na faida kwa Tanzania. Zile njia za ujanja janja zimedhibitiwa ndiyo maana wamepungua.
 
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
watu hamkosi ya kusema
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Hapa ndo utaona tofauti ya mpinzani na mpiiiinzaniiiiii. Hizi ndege ni zetu tayari hilo haliwez kubadilika, kwann usitoe suggestion routes ambazo zinaweza kuondoa hasara au ukatoa plan ambayo itatuepushia hasara? Kwann usishauri wahudumu wa ATCL wawe wa aina gani kuongeza ufanisi?. Kama huzitak kabisa ni bora ungeshauri ziuzwe kuliko unavyoponda.
 
Umejiuliza hao abiria wako wapi siku hizi? Na kama nchi tulifaidi kwa kiasi gani? Hizo zote zilikuwa mishe mishe zisizo na faida kwa Tanzania. Zile njia za ujanja janja zimedhibitiwa ndiyo maana wamepungua.
Tangu mmethibiti zimeleta faida ipi kwa taifa zaidi ya umasikini na kupungua kwa mapato, hadi mnashindwa kuwaongezea watumishi hela wakati iko kisheria. Maana walipokuja abiria hao walileta hela ndani,hotel zilijaa,nk,zilichangia makusanyo ya ndani,nk ambao awamu hii haiyafikii.
 
Yaani wamefuta comment yangu ya "comming" hahahaaa wamepiga editing faster mods your never fair acha tuwape zao shallow minded
 
Tangu mmethibiti zimeleta faida ipi kwa taifa zaidi ya umasikini na kupungua kwa mapato, hadi mnashindwa kuwaongezea watumishi hela wakati iko kisheria. Maana walipokuja abiria hao walileta hela ndani,hotel zilijaa,nk,zilichangia makusanyo ya ndani,nk ambao awamu hii haiyafikii.
Kitendo cha serikali yoyote ku-discarage corruption lazima kilete matokea chanya kwenye uchumi wa nchi. Kwanza watu wengi wanavutiwa kufanya kazi kwa bidii na kodi zinakuwa zinakusanywa. Kwa nchi iliyokuwa imeooza kwa corruption kama hii yetu matokeo yake yanachukuwa muda sana kuonekana.
 
Hapa ndo utaona tofauti ya mpinzani na mpiiiinzaniiiiii. Hizi ndege ni zetu tayari hilo haliwez kubadilika, kwann usitoe suggestion routes ambazo zinaweza kuondoa hasara au ukatoa plan ambayo itatuepushia hasara? Kwann usishauri wahudumu wa ATCL wawe wa aina gani kuongeza ufanisi?. Kama huzitak kabisa ni bora ungeshauri ziuzwe kuliko unavyoponda.
Sijaponda ila nime-think Critically. Cha muhimu ilikuwa ni kujiimarisha katika route za mikoani na nchi jirani ili ATCL iweze ku-feed Emirates. Juzi imeshuhudiwa Emirates wakifanya utafiti wa JNIA kuweza kuhudumia ndege kubwa kwa kusingizia kuwa hali ya hewa ya Mauritius ilikuwa mbaya. Wale walikuwa kwenye utafiti.
 
Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!
Huna taaluma ya biashara ya anga,hata ticket hujui zinakatwaje
Kwa theory yako potofu hiyo,emiratesair,Qatar au Ettihad wasingekua hai
Tanzania ina maelefu ya wafanyabiashara ambao wanakwenda mashariki ya kati na ya mbali kibiashara kila wiki,lakini kwa vile hatuna ndege zetu tunawategemea emirates,ethiopean au KQ na siku hizi Rwandair
Hii ndege inakujua kuchukua soko na itajaa tu
 
Tangu mmethibiti zimeleta faida ipi kwa taifa zaidi ya umasikini na kupungua kwa mapato, hadi mnashindwa kuwaongezea watumishi hela wakati iko kisheria. Maana walipokuja abiria hao walileta hela ndani,hotel zilijaa,nk,zilichangia makusanyo ya ndani,nk ambao awamu hii haiyafikii.
Tangu Serikali ya awamu ya tano ilivyoanza kuzibiti ujanja ujanja serikali imeweza kutekeleza ilani ya chama pendwa CCM kwa vitendo
  1. Serikali imeweza kununua ndege ndogo tatu mpya (Bombadier Q - 400) Ndege saizi ya kati 2 (Bombadier CS 300) na kununua ndege kubwa moja (Boeing 787-8 Dreamliner) na nyingine kubwa tunapewa kwa mkopo
  2. Serikali imeweza kuanza kutekeleza ujenzi wa SGR kwenda Mwanza na Kigoma
  3. Serikali imeweza kutoa pesa za elimu bila malipo mpaka form 4
  4. Serikali imeweza kuboresha huduma za afya kwa kuboresha shirika la MSD, Kununua X- Ray machine kwa kila hospital ya wilaya, nakadharika
  5. Ujenzi wa Stiglier Gorge
  6. na mengine mengi ambayo watu watakueleza
 
Tangu Serikali ya awamu ya tano ilivyoanza kuzibiti ujanja ujanja serikali imeweza kutekeleza ilani ya chama pendwa CCM kwa vitendo
  1. Serikali imeweza kununua ndege ndogo tatu mpya (Bombadier Q - 400) Ndege saizi ya kati 2 (Bombadier CS 300) na kununua ndege kubwa moja (Boeing 787-8 Dreamliner) na nyingine kubwa tunapewa kwa mkopo
  2. Serikali imeweza kuanza kutekeleza ujenzi wa SGR kwenda Mwanza na Kigoma
  3. Serikali imeweza kutoa pesa za elimu bila malipo mpaka form 4
  4. Serikali imeweza kuboresha huduma za afya kwa kuboresha shirika la MSD, Kununua X- Ray machine kwa kila hospital ya wilaya, nakadharika
  5. Ujenzi wa Stiglier Gorge
  6. na mengine mengi ambayo watu watakueleza
Hayo mmekaririshwa,kama hayo bado hayamsaidia mnyonge kumsaidia kupata basic need unafuu wa maishs,yanatija gani,labda kwa wwe unaetibiwa kwa Bima ya afya,na watoto wako wako international school,hio miradi yote still imechukua hela zetu na kuzipeleka nje ambapo hadi zije kuleta faida zirudi si chini ya miaka 30,
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Watanzania nimeamini sisi walio wengi ni wajinga nafu ya Makalio, kwa vile rais alisema tukiwa na ndege zetu zitabeba na kuvutia watalii basi washenzi flan wanafikiri ndege zinakuja kwa ajili ya kubeba watalii tu
ongezea Na hii, ndege zitabeba mahindi, mkaa, Nazi Na vingine vingi. Ndege ni chombo tu cha ubebaji Na usafirishaji
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nadhani hii route ni nzuri sana kwa kuanzia. Kla nikipanda ndege kutoka Doha, Addis Ababa etc inakuwa imejaza wachina na wahindi. Wakipata route ya direct to Dar wataitumia
Hiyo Addis na Doha abiria wengi wanakuwa wa connection kutoka nchi mbali mbali. Jee ATCL wanao wateja wa kuunganisha route?
 
Hiyo Addis na Doha abiria wengi wanakuwa wa connection kutoka nchi mbali mbali. Jee ATCL wanao wateja wa kuunganisha route?
Nimesafiri hizo route mara kadhaa. Nimeona abiria wengi ni kutoka China na India. Huu mjadala umelenga kwenye hiyo route ya India to Dar na nikasema wanaweza kupata hao abiria
 
MAZWAZWA ndivyo walivyo Mkuu wanaimbishwa nyimbo kila kukicha zilizojaa upuuzi na ambazo hazina maslahi kwa Watanzania.

Hayo mmekaririshwa,kama hayo bado hayamsaidia mnyonge kumsaidia kupata basic need unafuu wa maishs,yanatija gani,labda kwa wwe unaetibiwa kwa Bima ya afya,na watoto wako wako international school,hio miradi yote still imechukua hela zetu na kuzipeleka nje ambapo hadi zije kuleta faida zirudi si chini ya miaka 30,
 
Back
Top Bottom