ATCL kuanza direct flights to Mumbai

ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).
You better keep quiet if you know nothing my dear. We have a decease called UJUAJI. Same person is a Driver, Police Economist, Teacher and kilakitu. Siyo fair jamani. Acheni watu wafanye kazi zao. Kama wewe ni Mchumi acha mtu wa Mipango nae afanye yake. Mwalimu acha Mlinzi afanye yake. Mhasibu acha daktari afanye kazi yake. Huwezi kufahamu kila kitu ndugu. Mnajiaibisha. Hata wakipata hasara hawatakuwa wa kwanza maana Kenya Airways wanazipata na wanasonga mbele. Acheni ujuaji. Tunawachoka.
 
Hivi ndio vitu masikio yanataka kusikia, Nimefurahi angalau Magu amebadilika kiasi kwamba kwenye mikutano yake anachanganya wabunge wa vyama vya upinzani ...vile ndio kiongozi wa nchi anatakiwa awe! aendelee hivo na watu watabadili muelekeo wao!
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Acha nijifunze kutoa unabii "hii route itakufa kifo cha mende since day one, na hilo dege na madege mengine ya Baba Angela Kairuki Magufuli yatatangatanga na route kibao mpaka yatapaki"
 
Ni swala zuri sana ila je abiria wapo kiasi gani? Isije kuwa kama KQ walienda wakaamua kupunguza safari maana ndege ilikua yarudi robo.
Afu ni ngumu MTU kuacha Emirates, Qatar na Etihad kupanda ATCL/KQ
umeshawahi panda Etihad mkuu..wanahuduma mbovu sijapata ona.
 
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
Watalii ni mojawapo ya wateja...ila pia safari za kutoka Mumbai mpaka Dar es Salaam ina wasafiri wengi.....kuna wahindi na wachina wengi wana business zao Tanzania pia kuna wafanyabiashara wengi wa kitanzania wanafanya business na Nchi za Asia......hapo itategemea na price setting ila soko lipo
 
Na ni hatua nzuri coz kutoka nje itakuwa si lazima upitie Kenya au kanchi kadogo kama Rwanda. Kumbuka mizunguko hii yote inakufanya utumie pesa nyingi njiani hasa kipindi cha kuconnect flight.
 
UFIPA kwenye hii thread wame chachamaa, Mbowe azipanda kuzungukia biashara zake tupunguze ujuaji

Tupunguze ujuaji tunataka watalii watakao toka direct Asia, ulaya
 
Ni swala zuri sana ila je abiria wapo kiasi gani? Isije kuwa kama KQ walienda wakaamua kupunguza safari maana ndege ilikua yarudi robo.
Afu ni ngumu MTU kuacha Emirates, Qatar na Etihad kupanda ATCL/KQ
Soko lipo maana kuna biashara kubwa kati ya Mumbai na Dar es Salaam.....kuna wafanyabiashara wa kihindi na kichina wengi wana investment zao hapa na pia kuna wafanyabishara wengi wa kitanzania hufanya biashara zao na nchi za Asia....hivyo soko lipo sema itategemea na price setting
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
kwanini uwaze kushindwa tuuu?????
 
sio mbaya kama sio IGIZO,maana isije ikawa Mr Jiwe kawalazimisha kuiweka hiyo habari ili apate misifa ya kijinga!

Nchi inapaa kiuchumi ikiwa imeacha abiria airport!!!!
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Watu wote tungekua na akili Kama yako Dunia ingekua fukara kabisa.. Kwahiyo kisa kuna hotel za nyota tano Dar zinazozopendwa na zenye jina ndio Mimi nisifungue kisa nafkiri ntakosa wateja?? Biashara ni vile unavyoifanya.. Hata hao unaowasemea nao walipoanza walikuta mashirika makubwa tu yanayofanya biashara na wakamudu kuleta ushindani.. Acha fikra za kimaskini, Huo ni UMASKINI KABISA..
 
Hivi ndio vitu masikio yanataka kusikia, Nimefurahi angalau Magu amebadilika kiasi kwamba kwenye mikutano yake anachanganya wabunge wa vyama vya upinzani ...vile ndio kiongozi wa nchi anatakiwa awe! aendelee hivo na watu watabadili muelekeo wao!
Tatizo mlisusa wenyewe,na mmejirudisha wenyewe,hakuna aliewakataza kujumuika pamoja,tatizo baadhi walishikiwa akili,Ila wamejitambua,
 
kwa Nini wasingeanza na china, ila wafanyabiashara wengi wanafuata mzigo china
 
Viongozi serikalini wanaotibiwa india watakuwa wanasafiri bure na hapo ndipo kodi ya Mtanzania itakavyotumika ovyo
 
Watu wote tungekua na akili Kama yako Dunia ingekua fukara kabisa.. Kwahiyo kisa kuna hotel za nyota tano Dar zinazozopendwa na zenye jina ndio Mimi nisifungue kisa nafkiri ntakosa wateja?? Biashara ni vile unavyoifanya.. Hata hao unaowasemea nao walipoanza walikuta mashirika makubwa tu yanayofanya biashara na wakamudu kuleta ushindani.. Acha fikra za kimaskini, Huo ni UMASKINI KABISA..
Kwani Tanzania ni nchi ya Matajiri ? Ninachofahamu ni kuwa Tanzania ni nchi tajiri, lakini wanachi wake sio matajri kwa hiyo siwezi kuwaza zaidi ya hali ya nchi yangu. Hata Rais wa Tanzania ni Rais wa Wanyonge/Masikini.
 
Kwani Tanzania ni nchi ya Matajiri ? Ninachofahamu ni kuwa Tanzania ni nchi tajiri, lakini wanachi wake sio matajri kwa hiyo siwezi kuwaza zaidi ya hali ya nchi yangu. Hata Rais wa Tanzania ni Rais wa Wanyonge/Masikini.
Jitathmini ndugu yangu, Una pepo la umaskini, Omba sana.. Huwezi Akasema umeshindwa kabla hujajaribu, na pindi unapojaribu ukashindwa ndio utajua mapungufu yako yalipo.. Tanzania tuna watalii kibao wanaoingia nchini ukichanganya na wafanyabiashara.. Na wao wanalalamika sana kuhusu kutopata direct flights mpaka waungeunge. Ondoa fikra mgando hizo, unaulea UMASKINI
 
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
Watalii hawashindwi kuja sababu ya kukosa ndege shida ni Yale makodi waliyoyaweka kwenye utalii,MBONA awamu iliyopita walikuwa wakija wengi sana kuliko awamu hii na kulikuwa hakuna ndege
 
Back
Top Bottom