Hapana Mkuu, nilikuwa sijaelewa. Tunatofautiana uelewa.Mkuu uko negative mno sijui kwa nini.Kwani hao EMIRATES walianza vipi?
Hapana Mkuu, nilikuwa sijaelewa. Tunatofautiana uelewa.Mkuu uko negative mno sijui kwa nini.Kwani hao EMIRATES walianza vipi?
Ukienda huko kwa watalii wachache ndio wataongezeka...!!walikuwa hawaji partly because hakukuwa na direct flight.
Kwa akili kama hizi zako za kiumasikinini sidhani kama kuna kitu utafanya katika maisha yakoYaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Na una low IQ, hujasoma uchumi na hujawahi kwenda njeUtaambiwa sio mzalendo.




Wabongo tumezoea kupinga pinga imekuwa ni kautamaduni ketu. Na kukatishana tamaa.Kwa akili kama hizi zako za kiumasikinini sidhani kama kuna kitu utafanya katika maisha yako
Time will tell!Na una low IQ, hujasoma uchumi na hujawahi kwenda nje![]()
ATC wakijitahidi hii ni route nzuri sana. Ni matatizo yetu wenyewe ndiyo yana tusumbua. Abiria wengi hata wa Kenya airways wangependa sana kusafiri na Air Tanzania tatizo tulikuwa hatuna ndege ya kutupeleka huko.Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Wenzako wanaombea isiwe ili wapate topic za kujadili humu JFATC wakijitahidi hii ni route nzuri sana. Ni matatizo yetu wenyewe ndiyo yana tusumbua. Abiria wengi hata wa Kenya airways wangependa sana kusafiri na Air Tanzania tatizo tulikuwa hatuna ndege ya kutupeleka huko.
Nakumbuka enzi ya Djibouti Muscat Dubai ATC ilibidi waanzishe route ya Mombasa ili ibebe abiria wa route hizo. Abiria wengi kutoka Mombasa walikuwa transit kuelekea Dubai. Hata Air Malawi wakajiunga wakala joint venture.
Hii route ni nzuri sana tuombe mambo twende vizuri.
Naamini katika route zote za nje kwa biashara yetu hiyo ndiyo the best tuombe wasi ihujumu tu.Wenzako wanaombea isiwe ili wapate topic za kujadili humu JF
Hakuna kisicho na gharama inategemeana tu na kipi unaanza nachoMzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.
More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).
Wote hapa pamoja na mleta uzi hatujui utawala walikuwa wanajadili nini kwenye kikao chao hadi kuja na UAMUZI huo.kwann wasingeanza na China
W
Warrant paper uwa inaandikwa kwa ajali ya viongozi kupanda usafiri bure
Suala ni ushindan ktk huduma kwa wateja... sio direct flight peke yake inavutia abiria. Kuna Qatar wanaconnect flight kwa ndege zao Dar-Doha-Mumbai na wako vizur kwenye biashara..!Ukienda huko kwa watalii wachache ndio wataongezeka...!!walikuwa hawaji partly because hakukuwa na direct flight.
aeaHii ndege ifanyiwe mpango ipate japo route ya kuanzia London via amsterdam to KIA last destination iwe Dar! Wahudumu wake wewe wakimataifa msiweke hawa wasuka mawigi watu wa sasa hivi tafuteni warembo haswa! Menu ziwe za nguvu! Kuanzia hapo faida itaobekana. Pia naomba yule twiga achorwe kama yule twiga wa kwenye ndege za zamani anavutia zaidi. Alafu ubavuni kundikwe "Tanzania the land of Serengeti Klimanjaro and Zanzibar
Nihayo tu kwa uchache. Polepole tutafika tena kwa faida
Kwahiyo haiendi new york tena? Kwahiyo mke wa mbunge akistuka moyo haraka inageuzwa kurudi dar tayari kupeleka mgonjwa apollo?Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
Hawa wanao comment wala sio vijana ukiwaona utashangaaTatizo letu
1. Tuko na mawazo hasi kila wakati hata jema lifanywe tutaliona baya na hiyo imetuathiri mpaka katika maisha yetu ya kawaida mtu akifanya hata jambo zuri tunaponda yaani utafikiri tumerogwa aisee.
2.Maneno mengi mno tunaongea sana vitendo sifuri tubadilike wandugu.Kwani hayo makampuni makubwa kama EMIRATES walianza kila kitu wanaweza? Au ndio vile tunapenda kusifia vya wengine vyetu tunaponda? Vijana tubadilike.
3. Vijana ifike wakati tubadilishe mindset sio kila kitu negative negative tu haitokaa ikatusaidia. Nia aibu kwa kijana kuwa na NEGATIVE ATTITUDE kila wakati utafikiri zuri hata moja hakuna.HATA SHETANI ALIWAHI KUWA MALAIKA.
sawabho, POLE KWA KUOA MHA WA KWENU -HIVI HUKUWAONA WAHINDI NA WAARABU WAREMBO- UNGEENDA TU LUHUMBOYaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.