habari Zilizotufikia Muda Tukienda Mitamboni Zinasema Kampuni Ya Ndege Ya Tanzania Baada Ya Kuwahaadaa Wabunge Kwa Kufanya Safari Za Ndege Za Dodoma ,,imeamua Kuairisha Safari Hizo Baada Ya Mmoja Wa Mmoja Wa Walio Kwenye Board Ya Atcl Kushtuka Sana Na Kuulizia Hii Inakwendaje ..mbona Mnazidi Kutaka Kuliua Hili Kampuni Nani Ataenda Dodoma????baada Ya Kuona Hili Kwenye
Jf...
Wakatihili Likiendelea Inasemekana yule Muhindi mwenye Hisa Na A.african Airways Alishafix Mambo Yake Kuiua Kampuni Kwa Kutafuta Jamaa Wa Travel Agent Kufanya Mambo Yao../.na Kichekesho Tumesikia Jamaa Alishaanda Hadi Sehemu Ya Kukodishia Ofisi...ewe Chori Unaitakia Nini Kampuni Hiyo????????
Kwa Hamu Si Abiria Tunasubiri Sana Maana Nilivyoona Hapa Nikakimbiia Kwenye Travel Agent Kuuliza Wanadai Wameambiwa Waseme Hazipo Tena Safari Hizo
Mwanakijiiji Ni Tutawafundisha Na Kuwatabiria Mpaka Kufa..nakumbuka Uliuliza Je Itaruka .....sasa Wameshawaambia Tarvel Agent Akuna....nyie Waatu Wa Marketing Mpo??????????mmhhhhh
Innalilah Na Ma Wabrina!!!!!!!!