ATCL: Another Richmond!

ATCL: Another Richmond!

Mheshimiwa Mpaka kieleweke ni kweli kwamba kuna tatizo kubwa huko kwenye Uongozi wa Juu ATCL,Na Mimi kwa bahati mbaya nilikuwa mmoja wa watu waliokumbwa na Adhma ya kukosa Usafiri kwa karibu masaa 6 kutoka Dar kwenda Arusha,hali iliyonifanya nisafiri kwa Gari kwenda Arusha.

Na Habari za ndani nilizozipata kutoka kwa mmoja wa Wafanyakazi wa ATCL ni kwamba Mkuu kwenye Kitengo cha pesa ni Mzembe na hakuna anayeweza kumwambia Chochote kwa sababu ni Rafiki Mkubwa wa Mkurugenzi Mkuu (David Mataka).Sakata la Kuahirishwa kuruka Ndege Nyingi Alhamis na Ijumaa ni matokeo ya Kukosa Mafuta,Kwani Kampuni ya BP imekataa kutoa tena Mafuta kwa sababu hawalipwi pesa zao kwa wakati,Kampuni hiyo ya BP inasemekana inawadai ATCL pesa nyingi kwa kukopwa Mafuta.

Uongozi wa Juu wa BP unadai kuwa Mkurugenzi wa ATCL anatumia Vibaya Urafiki wake na Viongozi wakuu serikalini kuliendesha Shirika hilo,kwani mwezi wa tano watu wa BP walipata note kutoka kwa katibu Mkuu Wizara ya Nishati na baadaye kwa katibu Mkuu Ofisi ya Rais,walipogoma kutoa mafuta kwenye ndege iliyokuwa inaipeleka Timu yetu ya Mpira Cape Verde.Hivi sasa hakuna mtu yeyote anayeongelea suala hili la Utata wa malipo ya Madeni kutoka ATCL,kila mtu yupo busy kwenye Maandalizi ya Harusi ya Mtoto wa Kike (Monalisa) wa Mkurugenzi Mataka.

Waungwana nafikiri sasa imefika wakati Tumpime Kiongozi kutokana na sehemu anayoongoza,ikiwa mtu anashindwa ku-deliver ni lazima aachie ngazi.Mataka aanze kuoyesha Mfano.Mapungufu yake yamekuwa mengi kuliko Mafanikio..




Uteuzi wa bwana Dave Mataka sidhani kama ulizingatia perfomance na ufisadi wake wa hapo awali. Ndio maana sio ajabu hata kabla ya ATC kuwa na birthday yake ya kwanza, tayari linaingizwa kwenye wodi ya walio mahututi.
  1. Kama sijasahau, huyu mkuu ndie yule yule aliyejenga PPF tower kwa $20,000,000 badala ya zilizokadiriwa awali $9,000,000. Sijui sisi waTZ ni wasahaulifu au hatujali.
  2. Baadaye nafikiri alifikishwa mahakamani ingawa sijui kesi yake iliishia wapi. Hivi ilikuwaje mtu wa aina hii akapewa tena shirika changa kama ATC bila uangalizi wa karibu?
  3. Hivi JK alikuwa hayajui haya au uswahiba wao ndio ulio bora kuliko ATC?
  4. Kwa nini hizi nafasi za kazi za ukurugenzi wa mashirika ya umma na idara zake, ikiwa ni pamoja na ATC, zisitangazwe hadharani, nyumbani na kimataifa, ili wenye zifa wakaapply na kufanya kazi kwa mikataba inayotegemea utendaji wao badala ya kusimika miungu watu wasiowajibika kwenye hizo nafasi?
Wakati Kenya Airways wanaongeza routes za mashariki ya mbali (China, India n.k), Ulaya na marekani, ATC bado inashindwa kuruka kwenda KIA na Johannesburg. Kwa kweli bado kazi tunayo.
 
Nawaletea taarifa hii ambayo ingeliweza kulisaidia sana shirika letu la ndege kama ingefanyiwa kazi.

Jana ATCL wameshindwa kupata mafuta ya kurusha ndege zao na hivyo kushindwa kusafirisha abiria wao kwenda maeneo mbalimbali nchini.


Isome hapo chini .

Mkuu Kieleweke,

Nimeisoma hii tarifa yote uliyoambatanisha, lakini kwa uchungu kabisa ningependa kukufahamisha kuwa licha ya kuwa kamati iliundwa na wabunge maarufu kama Wah. Kaboyonga, mama Malecela, Dr. Mwakyembe, Lucy Owenya n.k., sidhani kama walifanya kazi nzuri.
  1. Ripoti imetolewa Mei 2007. SAA wao walitoa notisi ya kuvunja mkataba March 2005. Mkataba wa GOT na SAA hatimaye ulivunjika August 2006. Lakini kamati badala ya kuijadili ATC as after mkataba kuvunjika na future yake, kwa asilimia kubwa, say over 90%, waliendelea kujadili ubabe wa SAA wakati wa ATCL na kidogo upuuzi wa GOT.
  2. Licha ya suala la ATC kukopa mafuta kuwa ni moja ya tatizo kubwa la madeni ya ATCL tokea 2006, kamati haikutoa wazo lolote kuhusiana na hili. Suala ambalo haitmaye ndio limeifikisha ATC hapa ilipo.
  3. Udhaifu wa uongozi wa ATCL kwa upande wa TZ nao umeongelewa kidogo sana kwenye ripoti. Ila cha kushangaza, hakuna msaada wowote wa kimawazo uliotolewa na kamati juu ya nini kifanyike.
  4. Conclussion zao zote hazina msaada wowote kwa ATC ya sasa. Karibu zote zinaangalia nyuma badala ya kutoa muongozo kwa shirika jipya la ATC. Shame on them.
Kwa jinsi wanakamati walivyo na CV nzuri, nafikiri hili suala hawakuhangaika nalo kiuhakika, maana hata mwanafunzi wa degree ya pili pekeyake ukimpa miezi mitatu tu, anaweza kutengeneza ripoti nzuri zaidi ya hiyo waliyoiwakilisha bungeni. Ukiifananisha hii ripoti na summary tu ya ile ya ripoti ya Mwakiyembe-Richmond, ni sawa na sawa na kufananisha kazi ya mwanafunzi wa sekondary na ya wa chuo. Nafuu hii ingefanywa kuwa field work ya wanafunzi wa chuo kuliko hivi ilivyoundiwa kamati ya gharama kubwa ya bunge.
 
Mkuu Kieleweke,

Nimeisoma hii tarifa yote uliyoambatanisha, lakini kwa uchungu kabisa ningependa kukufahamisha kuwa licha ya kuwa kamati iliundwa na wabunge maarufu kama Wah. Kaboyonga, mama Malecela, Dr. Mwakyembe, Lucy Owenya n.k., sidhani kama walifanya kazi nzuri.
  1. Ripoti imetolewa Mei 2007. SAA wao walitoa notisi ya kuvunja mkataba March 2005. Mkataba wa GOT na SAA hatimaye ulivunjika August 2006. Lakini kamati badala ya kuijadili ATC as after mkataba kuvunjika na future yake, kwa asilimia kubwa, say over 90%, waliendelea kujadili ubabe wa SAA wakati wa ATCL na kidogo upuuzi wa GOT.
  2. Licha ya suala la ATC kukopa mafuta kuwa ni moja ya tatizo kubwa la madeni ya ATCL tokea 2006, kamati haikutoa wazo lolote kuhusiana na hili. Suala ambalo haitmaye ndio limeifikisha ATC hapa ilipo.
  3. Udhaifu wa uongozi wa ATCL kwa upande wa TZ nao umeongelewa kidogo sana kwenye ripoti. Ila cha kushangaza, hakuna msaada wowote wa kimawazo uliotolewa na kamati juu ya nini kifanyike.
  4. Conclussion zao zote hazina msaada wowote kwa ATC ya sasa. Karibu zote zinaangalia nyuma badala ya kutoa muongozo kwa shirika jipya la ATC. Shame on them.
Kwa jinsi wanakamati walivyo na CV nzuri, nafikiri hili suala hawakuhangaika nalo kiuhakika, maana hata mwanafunzi wa degree ya pili pekeyake ukimpa miezi mitatu tu, anaweza kutengeneza ripoti nzuri zaidi ya hiyo waliyoiwakilisha bungeni. Ukiifananisha hii ripoti na summary tu ya ile ya ripoti ya Mwakiyembe-Richmond, ni sawa na sawa na kufananisha kazi ya mwanafunzi wa sekondary na ya wa chuo. Nafuu hii ingefanywa kuwa field work ya wanafunzi wa chuo kuliko hivi ilivyoundiwa kamati ya gharama kubwa ya bunge.

Sidhani kama unaweza kusema CV zao ni nzuri kwa sababu tu ya Richmond! Ukiangalia ripoti ya Richmond, hakuna kipya walichokisema zaidi ya kile tulichokuwa tunakijua awali. Kama CV ni uboldness wa mwakyembe na uhodari wa kusoma basi nakubaliana na wewe ila kama CV ni jinsi ya kudadavua mambo na kutoacha shaka yoyte katika conclusions unazofanya, basi sidhani kama ripoti ya Richmond ina tofauti sana na hii. Zote zinaacha maswali magumu ambayo hayapatiwi majibu. Nitaishia hapa maana nadhani hoja hapa ni ATCL ambayo siku zote ndo kipenzi changu!
 
Sidhani kama unaweza kusema CV zao ni nzuri kwa sababu tu ya Richmond! Ukiangalia ripoti ya Richmond, hakuna kipya walichokisema zaidi ya kile tulichokuwa tunakijua awali. Kama CV ni uboldness wa mwakyembe na uhodari wa kusoma basi nakubaliana na wewe ila kama CV ni jinsi ya kudadavua mambo na kutoacha shaka yoyte katika conclusions unazofanya, basi sidhani kama ripoti ya Richmond ina tofauti sana na hii. Zote zinaacha maswali magumu ambayo hayapatiwi majibu. Nitaishia hapa maana nadhani hoja hapa ni ATCL ambayo siku zote ndo kipenzi changu!

Mkuu Jobo,
Nakubaliana na wewe kuwa mengi ya yaliyokuwemo kwenye ripoti ya Mwakyembe tayari yalishakuwepo kwenye public domain, lakini at least waliweza kutengeneza conclussions ambazo zilikuwa zinaangalia mbele. Hii ya ATCL ni ubwabwa mtupu. Sio ripoti ya kufanyia kazi kw mwaka mzima na utitiri wa vichwa.


Anyway, ushauri wangu kwa ni kuwa;
  1. Wakurugenzi wote wa ATC kuanzia MD na wengineo wote, infaa wafukuzwe kazi na nafasi zao zitangazwe hadharani. Watu wenye sifa zao iwe ni waTZ au wageni waruhusiwe kuomba kazi, wachambuilwe na kuajiriwa kwa mikataba kwani sidhani kama tunao wabongo wenye elimu na uzoefu wa kila fani hasa za airline industry.
  2. Kipengele kimojawapo cha ajira zao iwe ni perfomance yao binafsi na ile ya shirika kwa ujumla.
  3. Wafanyakazi 300 kwa ndege sita ni mzigo mkubwa wa wazi kwa shirika. Sidhani kama Precission air wana zaidi ya wafanyakazi 100 ingawa wana ndege tisa.
  4. Ukaguzi wa mahesabu na uendeshwaji wa shirika ufanyike mara kwa mara na wabadhilifu au wazembe tu wa kawaida wachukuliwe hatua.
 
TATIZO KUBWA LINALOWASUMBUA VIONGOZI WETU WENGI WA MASHIRIKA YA UMMA PAMOJA NA HILI LA ATCL NI TAMAA,UBINAFSI,UFISADI,SIASA NA KUTOWAJALI WANANCHI..NIMEKUW NIKISOMA SANA HABARI HIZI ZA HII KAMPUNI NA KUJIKUTA NIKITOA MACHOZI.....NILISHAHAWAH KUKAA NA MH MATTAKA NIKATOA MAWAZO YANGU JINSI YA KUSAIDIA SHIRIKA LAKINI MAMBO NILIOKUWA NIKISIKIA ILIKUWA NI YA KUSIKITISHA......KWANGU MIMI SOTOONA KUSHANGAA WAKISHINDWA KURUSHA NDEGE SABABU YA MAFUTA KUTOKANA NA FUJO ZA ULAJI WANAZOFANYA WAHESHIMIWA HAO...
NILIPATA KUELEZA JAMAA (D.M),BAADA YA KUINGIA NA KUONA HAKUNA SEHEMU YA KULA MOJA KWA MOJA AKAANZISHA KAMA AHSANTE KWA KUWAONGEZE A PESA YAAN PER D.M,,TOKA DOLLER 100 MPAKA 250 USD HUKU YEYE NA AKIJIWEKEA 500,,USD NA MANAGEMENT 450USD..HILI WATU WENGI WALIAMBIWA ATCL MUDA SI MREU MTAKUJA KULIA....MAANA BAADA YA KUJIONGEZEA NDIPO AKAANZA KUPASUASAFARI ZA MABARA ZAIDI YA MOJA AKIKAA DAR SIKU 3 ANARUKA NJE MWEZI ANARUDI WANAKAA NA WENZAKE SIKU 5 WANAKIMBIA NCHI KISA KUTAFUTA WAWEKEZAJI WA KUSAIDIA KAMPUNI...NA KWA TAARIFA NILIYOKUWA NAYO KABLA YA KUAMUA KUMTOA JAMAA ANAESHUGULIKIA MALIPO ILI WAWEZE KUFICHA UCHAFU WAO DAVID MATTAKA(D.M)
ALIKUWA AMESHATUMIA USD 135 ,000KWA MWAKA WA KWANZA TU KWA AJILI YA SAFARI HUKU WENZAKE MA DIRECTOR WAKITUMIA USD 70,000 KILA MMOJA NA HILI SI SWALA LA MAJUNGU WALETE AUDITORS WA NJE...NA NDIO MAANA NASIKIA WALIMFUKUZA MTOTO MMOJA WA KIKE ALIKUWA AUDITOR WA KAMPUNI KWA KUUULIZA ULIZA MASWALI YA MSINGI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA PESA ZA KAMPUNI HASA NJE NA NDANI LIKIWEMO SWALA LA KWENDA KUPUMZIKA BAGAMOYO MARA KWA MARA WAKIJIGAWIA USD 250 KWA 500,,,

SEHEMU NYINGINE ILIYOWAUMIZA HAWA NA ITAKAYOFANYA KUWASAHAULISHA NI KITENGO CHA AJIRA!!!!KUMEKUWA NA AJIRA CHAFU ZISIZO NA ADABU WALA HESHIMA HUKU WAKIAJIRIWA WAHINDI NA MEMBERS WA TRAVEL AGENTS KWA KUJUANA BILA KUANGALIA UMUHIMU WA NAFASI......KITENGO HIKI KINAITAJI KUANGALIWA SANA SANA MAANA NILIKAA NA DADA MMOJA ALINISIKITISHA SANA KUNIAMBIA MAMBO HAYA NA KUSEMA SITOSEMA UONGO DAIMA......KUNA MUHINDI MMOJA AMBAYE AMEKUWA AKITUMIWA NA S.A.AIRWAYS KUIUA KAMPUNI KWA KULETA MAAMUZI AMBAYO YATAIATHIRI KAMPUNI ....MFANO MDOGO NI HUO HAPO CHINI

Dear Colleagues,



Please join me in welcoming the following new staff in my department.



1. Ms. Sophia Shuma - Dar Sales Trainee
2. Mr. Wilbert Ndugulile - Dar Sales Trainee
3. Ms. Theostina Ndyetabula - ETicketing Help Desk
4. Ms. Harieth Rutihinda - ETicketing Help Desk
5. Ms. Stella Sizya - Jro Interline Office
6. Ms. Anna Makundi - Jro Interline Office
7. Ms. Feda Maridadi - Jro Interline Office
8. Mr. Twaha Kiponza - Jro TLO
9. Mr. Mohammad Kiroro - Jro TLO
10. Ms. Mariam Massanja - Moshi CSA
11. Ms. Catherine Kessy - Moshi CSA



Respective team leaders liaise with IT for their office email address.



Brgds,

SWALA LINGINE LINALOUMIZA KAMPUNI HII NI MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA KAMPUNI TANGU MWANZO NILIPOSSIKIA MATATIZO YA ATCL NILIJARIBU KUWAELEZA MARAFIKI ZANGU WALIO HUKO WENYE DHAMANA KUWA MAKINI NA BAADHI YA MAMBO
KUNA MAMBO MENGI YANAYAFANYIKA NAFIKIRI WAKIJUA MASLAN NINI MADHARA YAKE BAADAYE....KUMEKUWA NA SAFARI ZA KWENDA BAGAMOYO MARA KWA MARA KWA VIONGOZI WAKITUMIA MAGARI YA KAMPUNI NA HUKU WAKIPEWA DOLLER 500 NA 350 ..MAMBO HAYA NILISIKIA YALIPIGIWA MAKELELE SANA NA HAKUNA ALIONA HUKU MIKUTANO HIYO HIYO INGEWEZA KUFANYWA UBUNGO PLAZA NA KWINGINEKO.....KUNAITAJIKA MSAAADA MKUBWA KWENYE MAMBO KAMA HAYA KAMA WANAITAKIA VYEMA KAMPUNI......NAFIKIRI BAYA ZAIDI WAKATI WAKILA HIZO PESA WALIKUWA HAWAJUI KWAMBA IPO SIKU ZITAITAJIKA KULIPIA MAFUTA NA HAO BP SIO WAJINGA KUWANYIMA WANASOMA NA WANASIKIA HABARI ZOTE JINSI WANAVYORUMBUA HUKO BAGAMOYO NA KWINGINEKO...INASIKITISHA WAZIRI AAU KATIBU WA MIUNDO MBINU KUWATISHIA BP KWA MEMO KWASABABU WAMEINYIMA ATC MAFUTA.....MBONA PREC***** HAJANYIMWA WAACHENI WATU WABEBE MIZIGO YAO
INASIKITISHA SANA NAWAOMBEA HERI KUIONA SIKU MOJA IKIFANIKIWA KILA LA HERI
MWANAIZAYA
 
ATIZO KUBWA LINALOWASUMBUA VIONGOZI WETU WENGI WA MASHIRIKA YA UMMA PAMOJA NA HILI LA ATCL NI TAMAA,UBINAFSI,UFISADI,SIASA NA KUTOWAJALI WANANCHI..NIMEKUW NIKISOMA SANA HABARI HIZI ZA HII KAMPUNI NA KUJIKUTA NIKITOA MACHOZI.....NILISHAHAWAH KUKAA NA MH MATTAKA NIKATOA MAWAZO YANGU JINSI YA KUSAIDIA SHIRIKA LAKINI MAMBO NILIOKUWA NIKISIKIA ILIKUWA NI YA KUSIKITISHA......KWANGU MIMI SOTOONA KUSHANGAA WAKISHINDWA KURUSHA NDEGE SABABU YA MAFUTA KUTOKANA NA FUJO ZA ULAJI WANAZOFANYA WAHESHIMIWA HAO...
NILIPATA KUELEZA JAMAA (D.M),BAADA YA KUINGIA NA KUONA HAKUNA SEHEMU YA KULA MOJA KWA MOJA AKAANZISHA KAMA AHSANTE KWA KUWAONGEZE A PESA YAAN PER D.M,,TOKA DOLLER 100 MPAKA 250 USD HUKU YEYE NA AKIJIWEKEA 500,,USD NA MANAGEMENT 450USD..HILI WATU WENGI WALIAMBIWA ATCL MUDA SI MREU MTAKUJA KULIA....MAANA BAADA YA KUJIONGEZEA NDIPO AKAANZA KUPASUASAFARI ZA MABARA ZAIDI YA MOJA AKIKAA DAR SIKU 3 ANARUKA NJE MWEZI ANARUDI WANAKAA NA WENZAKE SIKU 5 WANAKIMBIA NCHI KISA KUTAFUTA WAWEKEZAJI WA KUSAIDIA KAMPUNI...NA KWA TAARIFA NILIYOKUWA NAYO KABLA YA KUAMUA KUMTOA JAMAA ANAESHUGULIKIA MALIPO ILI WAWEZE KUFICHA UCHAFU WAO DAVID MATTAKA(D.M)
ALIKUWA AMESHATUMIA USD 135 ,000KWA MWAKA WA KWANZA TU KWA AJILI YA SAFARI HUKU WENZAKE MA DIRECTOR WAKITUMIA USD 70,000 KILA MMOJA NA HILI SI SWALA LA MAJUNGU WALETE AUDITORS WA NJE...NA NDIO MAANA NASIKIA WALIMFUKUZA MTOTO MMOJA WA KIKE ALIKUWA AUDITOR WA KAMPUNI KWA KUUULIZA ULIZA MASWALI YA MSINGI KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA PESA ZA KAMPUNI HASA NJE NA NDANI LIKIWEMO SWALA LA KWENDA KUPUMZIKA BAGAMOYO MARA KWA MARA WAKIJIGAWIA USD 250 KWA 500,,,

SEHEMU NYINGINE ILIYOWAUMIZA HAWA NA ITAKAYOFANYA KUWASAHAULISHA NI KITENGO CHA AJIRA!!!!KUMEKUWA NA AJIRA CHAFU ZISIZO NA ADABU WALA HESHIMA HUKU WAKIAJIRIWA WAHINDI NA MEMBERS WA TRAVEL AGENTS KWA KUJUANA BILA KUANGALIA UMUHIMU WA NAFASI......KITENGO HIKI KINAITAJI KUANGALIWA SANA SANA MAANA NILIKAA NA DADA MMOJA ALINISIKITISHA SANA KUNIAMBIA MAMBO HAYA NA KUSEMA SITOSEMA UONGO DAIMA......KUNA MUHINDI MMOJA AMBAYE AMEKUWA AKITUMIWA NA S.A.AIRWAYS KUIUA KAMPUNI KWA KULETA MAAMUZI AMBAYO YATAIATHIRI KAMPUNI ....MFANO MDOGO NI HUO HAPO CHINI

Dear Colleagues,



Please join me in welcoming the following new staff in my department.



1. Ms. Sophia Shuma - Dar Sales Trainee
2. Mr. Wilbert Ndugulile - Dar Sales Trainee
3. Ms. Theostina Ndyetabula - ETicketing Help Desk
4. Ms. Harieth Rutihinda - ETicketing Help Desk
5. Ms. Stella Sizya - Jro Interline Office
6. Ms. Anna Makundi - Jro Interline Office
7. Ms. Feda Maridadi - Jro Interline Office
8. Mr. Twaha Kiponza - Jro TLO
9. Mr. Mohammad Kiroro - Jro TLO
10. Ms. Mariam Massanja - Moshi CSA
11. Ms. Catherine Kessy - Moshi CSA



Respective team leaders liaise with IT for their office email address.



Brgds,

SWALA LINGINE LINALOUMIZA KAMPUNI HII NI MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA KAMPUNI TANGU MWANZO NILIPOSSIKIA MATATIZO YA ATCL NILIJARIBU KUWAELEZA MARAFIKI ZANGU WALIO HUKO WENYE DHAMANA KUWA MAKINI NA BAADHI YA MAMBO
KUNA MAMBO MENGI YANAYAFANYIKA NAFIKIRI WAKIJUA MASLAN NINI MADHARA YAKE BAADAYE....KUMEKUWA NA SAFARI ZA KWENDA BAGAMOYO MARA KWA MARA KWA VIONGOZI WAKITUMIA MAGARI YA KAMPUNI NA HUKU WAKIPEWA DOLLER 500 NA 350 ..MAMBO HAYA NILISIKIA YALIPIGIWA MAKELELE SANA NA HAKUNA ALIONA HUKU MIKUTANO HIYO HIYO INGEWEZA KUFANYWA UBUNGO PLAZA NA KWINGINEKO.....KUNAITAJIKA MSAAADA MKUBWA KWENYE MAMBO KAMA HAYA KAMA WANAITAKIA VYEMA KAMPUNI......NAFIKIRI BAYA ZAIDI WAKATI WAKILA HIZO PESA WALIKUWA HAWAJUI KWAMBA IPO SIKU ZITAITAJIKA KULIPIA MAFUTA NA HAO BP SIO WAJINGA KUWANYIMA WANASOMA NA WANASIKIA HABARI ZOTE JINSI WANAVYORUMBUA HUKO BAGAMOYO NA KWINGINEKO...INASIKITISHA WAZIRI AAU KATIBU WA MIUNDO MBINU KUWATISHIA BP KWA MEMO KWASABABU WAMEINYIMA ATC MAFUTA.....MBONA PREC***** HAJANYIMWA WAACHENI WATU WABEBE MIZIGO YAO
INASIKITISHA SANA NAWAOMBEA HERI KUIONA SIKU MOJA IKIFANIKIWA KILA LA HERI
MWANAIZAYA
 
Mhh Kazi Kweli Kweli Hilo Swala La Ajira Ni Aibu Ya Kampuni Kila Siku Wanaajiri Ovyo Nina Kamfano Kadogo Rafiki Yangu Rubani Aliniambia Wamejiri Marubani 18 Wa Kurusha Ndege Ndogo Zile Dach 8..sasa Kwa Taarifa Niliyonayo Jamaa Anasema Inaruka Ndege Moja Tu Kati Ya Zile Ndogo Mbili Nyingine Wameamua Isiruke Haina Ubora Yaani Inaitaji Matengenezo Makubwa ......kichekesho Kingne Kweli Hawa Jamaa Ni Wa Kuwaangalia Sana Inasemekana Wameajiri Rubani Mmoja Alikuwa Mlevi Malaya Mchafu Wakutupa Hapo Nyuma Akatimuliwa Na Sasa Wamempa Ass Trainning Pilot...jamani Na Kwa Taarifa Huyu Bwana Wanamlipa Kama Usd 15,000 Na Katika Hizi Zake Ni Usd 12,000 Tu Zilkizobaki Kuna Vigogo Kama 3 Top Wanabanana Nazo..kwa Kweli Linasikitisha Sana Kuajiri Walevi Na Kuwalipa Pesa Nyingi Kama Hizi...
Overall Utaona Wanaajiri Watu Ovyo Huku Wakijua Ndege Aziruki
Swala La Mafuta Na Fikiri Ni Wakati Muwafaka Wa Kuwaachia Bp Kuongea Na Atcl...serikali Msijipendeke Kabisa..wao Wanafanya Biashara Kama Atc Sioni Haki Ya Kuwanyanyasa Wanahaki Ya Kudai Haki Zao......wakati Umefika
Viongozi Amkeni !!!!!
 
Anaitwa Mc Grin,,huku Watanzania Nasikia Wananyanyasika Kuruka Kila Siku Wakilipwa Pesa Mbovu,,watu Wanaamua Kula Hadi Pesa Za Trainning Za Wafanyakazi Unafikiri Mafuta Zitakuwepo>???????hao Marubani Nasikia Hakuna Hata Mmoja Walieenda Course Ya Urubani Hawana Hela Na Jamaa Alichonchekesha Hata Hao Wa Dac 8 Wamjilipia Kwa Hadi Watarudishiwa Kia Kulinda Ajira!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Wapi Jk Unaipeleka Hii Kampuni
 
Mkuu Jobo,
Nakubaliana na wewe kuwa mengi ya yaliyokuwemo kwenye ripoti ya Mwakyembe tayari yalishakuwepo kwenye public domain, lakini at least waliweza kutengeneza conclussions ambazo zilikuwa zinaangalia mbele. Hii ya ATCL ni ubwabwa mtupu. Sio ripoti ya kufanyia kazi kw mwaka mzima na utitiri wa vichwa.


Anyway, ushauri wangu kwa ni kuwa;
  1. Wakurugenzi wote wa ATC kuanzia MD na wengineo wote, infaa wafukuzwe kazi na nafasi zao zitangazwe hadharani. Watu wenye sifa zao iwe ni waTZ au wageni waruhusiwe kuomba kazi, wachambuilwe na kuajiriwa kwa mikataba kwani sidhani kama tunao wabongo wenye elimu na uzoefu wa kila fani hasa za airline industry.
  2. Kipengele kimojawapo cha ajira zao iwe ni perfomance yao binafsi na ile ya shirika kwa ujumla.
  3. Wafanyakazi 300 kwa ndege sita ni mzigo mkubwa wa wazi kwa shirika. Sidhani kama Precission air wana zaidi ya wafanyakazi 100 ingawa wana ndege tisa.
  4. Ukaguzi wa mahesabu na uendeshwaji wa shirika ufanyike mara kwa mara na wabadhilifu au wazembe tu wa kawaida wachukuliwe hatua.

Thanks, this will rejuvenate the Company! Mattaka sacks man! He is immoral, fisadi and incompetent!
 
Kama mkuu wa kaya ataendelea kukaa kimya kwa vitu ambavyo JF wanaviona na kuvisema mapema ni vizuri tukakaa kimya kwanza aone kuwa sisi tunaona mbali kuliko yeye, maana ili shirika litakufa sasa hivi.
 
Makongoro yuko wapi? tuliposema akapiga kelele kuwatukana wafanyakazi wa ATCL sasa na aje aseme tena tusikie data alizonazo, watu tgulikuwa tunajua kinachokuja baada ya kuchunguza na kupata ukweli anaraumu walioleta taarifa JF.
 
ndugu Wapendwa
kwa Masikitiko Makubwa Napenda Kuwafahamisha Kampuni Ya Ndege Ya Tanzania (atcl) Imefanya Kuihoja Cha Mwaka Katika Ulimwengu Wa Anga Huko Cameroon.....habari Zilizotufikia Kutoka Kwa Wapenzi Na Kuthibitishwa Na Viongozi Wa Chama Cha Mpira Wa Mguu Tff..zinasema
walipofika Kule Cameroon Hali Zao Zilikuwa Salama ,,,,ila Walipo Maliza Mpira Kama Kawaida Kuna Payment Za Kulipia Uwanja Ndio Ndege Iruhusiwe Kuruka,,,baada Ya Kupelekewa Bill Viongozi Walioambatana Wengi Wao Wakienda Maslan Kwa Ajili Ya Mpira Walishikwa Na Butwa Kana Kwamba Hawakujua Kuna Payment For Takeoff Permit....ilisikitisha Sana Ikabidi Viobngozi Wa Tff Wakishirikiana Na Viongozi Na Ma Predeshe Waliofwatana Na Timu Kuiokoa Kutoka Ardhi Ya Cameroon Kwa Kuwakopesha Na Kutarajiwa Kulipwa Watakaporudi Tanzania,,,,,
mmoja Walioamua Kuwakopesha Ameshikwa Na Butwaa Na Mpaka Sasa Anarandaranda Pale Ofisi Za Atc Mjini Kuulizia Check Yake Baada Ya Kumkuta Mkewe Ajaenda Safari Na Ndege Ya Atc Toka Juzi Akiambiwa Wana Tatizo La Kutolipa Mafuta.......toka Juzi Na Kuamua Ku Cancel Safari Zake!!!!!!!!!!

ushauri Wangu Viongozi Wa Tff Mnashauriwa Kwenda Na Pesa Za Ziada Kikodisha Hii Ndege Inaonekana Ipo Siku Mtabaki Uko Mnakokwenda!!!!!!
Waziri Wa Miundo Mbinu Embu Liangalie Hili Kama Sawa Basi Usiwajibike Kama Ni Kosa Watu Wawajibishwe Ipasavyo Au Hamkulipa Pesa Za Safari Iweje Wanakosa Pesa Za Kulipia Uwanja
shame Tanzania
 
Mkuu Jobo,
Nakubaliana na wewe kuwa mengi ya yaliyokuwemo kwenye ripoti ya Mwakyembe tayari yalishakuwepo kwenye public domain, lakini at least waliweza kutengeneza conclussions ambazo zilikuwa zinaangalia mbele. Hii ya ATCL ni ubwabwa mtupu. Sio ripoti ya kufanyia kazi kw mwaka mzima na utitiri wa vichwa.


Anyway, ushauri wangu kwa ni kuwa;
  1. Wakurugenzi wote wa ATC kuanzia MD na wengineo wote, infaa wafukuzwe kazi na nafasi zao zitangazwe hadharani. Watu wenye sifa zao iwe ni waTZ au wageni waruhusiwe kuomba kazi, wachambuilwe na kuajiriwa kwa mikataba kwani sidhani kama tunao wabongo wenye elimu na uzoefu wa kila fani hasa za airline industry.
  2. Kipengele kimojawapo cha ajira zao iwe ni perfomance yao binafsi na ile ya shirika kwa ujumla.
  3. Wafanyakazi 300 kwa ndege sita ni mzigo mkubwa wa wazi kwa shirika. Sidhani kama Precission air wana zaidi ya wafanyakazi 100 ingawa wana ndege tisa.
  4. Ukaguzi wa mahesabu na uendeshwaji wa shirika ufanyike mara kwa mara na wabadhilifu au wazembe tu wa kawaida wachukuliwe hatua.

Kama alivyosema Mzee Mwanakijiji kuwa tangu mwaka jana 'kelele' zimekuwa zikipigwa lakini hakuna la maana linalofanyika.

Ikumbukwe kuwa katika mitundiko yangu iliyopita nilisema kuwa Mh. Rais alishauriwa vibaya juu ya uteuzi wa Bw. David Mattaka na mmoja wa wamsaidizi wake wakuu. Huyu msaidizi wa Rais ni rafiki wa karibu kabisa wa Bw. David. Huenda pia kwa sasa anaendelea kumkingia kifua kwa hali na mali. Hakuna kinachoweza kukatiza kwenda kwa Mh. Rais bila ya kupitia kwake au kwa yeye kutakiwa kutoa ushauri au mapendekezo.

Nilitoa na nitaendelea kusimamia ushauri huo,
Haraka serikali itafute Aviation Management Experts kama vile Speed Wing au Lufthansa au wengineo waweze kuendesha menejimenti ya ATCL kwa kipindi cha miezi 24 hadi 48 huku wakiigizwa na wazalendo watakaojifunza kutoka kwao.

Kwa tathmini ya biashara ya Ndege ilivyo kwa leo tarehe 23 June 2008 ulimwenguni, ATC ipo mahali pabaya mno na sioni kama David Mattaka anauwezo wowote wa kukabiliana na changamoto za mabadiliko yanayotakiwa mashirika ya ndege yachuke ndani ya miezi mitatu hii inayokuja kuishia September 2008. Inasikitisha sana kuona kwa mara nyingine tena ATC inazama and this time haitaibuka tena!!!!

hii ripoti ya kamati ya bunge sielewi, ilijadiliwa mwaka mmoja uliopita au ndiyo 'current issue'? nisaidieni wadau. Ninasubiri.
 
That will take 'mapinduzi' to happen.
Hakuna somo ambalo atc hawajapewa. anatakiwa mtu mpya na mambo mapya (mpya maana mpya sio mpya aliewekwa na watu wa zamani)
 
Kuna makubwa ambayo nayajua kuhusu hali ya ATC.. lakini kuna faida gani kuyaweka hadharani? Hivi ni wangapi wanajua kuwa hilo li Airbus lao linaruka likiwa na matatizo....? na haya ni tofauti na yale tuliyoyaanisha mwanzoni?
 
That will take 'mapinduzi' to happen.
Hakuna somo ambalo atc hawajapewa. anatakiwa mtu mpya na mambo mapya (mpya maana mpya sio mpya aliewekwa na watu wa zamani)

ATC to ATCL....A lot has happened that would have been enuf to make everybody concerned learn a thing or two.There was a time in the 80s-90s kupata kazi ATC ilitegemea how connected you were.. sasa kweli hivyo ni vigezo vya ufanisi?...


When you mix business with leisure and pleasure without accountability..what do you get??
 
Sasa wamenunua hilo li Air Bus ambalo limezidi kurundika madeni kibao... watumie maji sasa kulirusha.. grrrrrrrrrrrrrrrr

Mimi naona wwajipange foleni wakojolee kwenye tangi la mafuta la EABAS. I'm certain engine zitafanya kazi kwa nishati hii mpya na kuleta ufumbuzi wa kunyimwa mafuta
 
hatari hiii
jamani natoka nimenda mwanza asbh hii na ATC
hakuna chakula kabisa na tunalipa
320,000 jamani serikali mko wapi ?????????????
baada ya kuuliza pale mwanza na wafanyakazi wa ndege tukaambiwa
ni ndege ya southi africa tu wanaweka chakula
babukubwa
tutafika??????????
 
Back
Top Bottom