Mlisifia Ethiopia sasa yapo wapi? Hakuna democracy katika kutawala waafrika. Sasa muufyate jamaa ajenge nchiMzalendo anayeiogopa demokrasia ?
Bila shaka ameshatubu ndio mana amemkubaliHuyu si alisema jiwe atubu
Watumishi wa Mungu wameanza kukimbilia kwa Magufuli,
wameona njia sahihi kushirikiana na kiongozi bora na mzalendo
Mlisifia Ethiopia sasa yapo wapi? Hakuna democracy katika kutawala waafrika. Sasa muufyate jamaa ajenge nchi
Kelele za mlango hazizuii mwenye nyumbaNa ukitawala bila kutii demokrasia jua utatawala huku ukipondwa kwa kila kitu.
Si ndio yeye akatubishwa na watoza ushuru au siyo huyu?Huyu si alisema jiwe atubu
yeye ndo anatubu sasaHuyu si alisema jiwe atubu
ndiyo mjiulize huyu mkosoaji ikawaje ameona sawa tena ? Ndo mtajua wengi wanapinga kila kitu kwa mikumbo
Huyu si alisema jiwe atubu
Wote wenye makando kando kwenye shughuli zao lazima wanaunga mkono juhudiKishakengeuka .