Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
- Thread starter
- #101
tofauti mno !Askofu SHOO
tofauti mno !Askofu SHOO
Mimi ni muumini wa fgbf Jana askofu ameniabisha na kunifedhehesha sana.kimsingi sikulala.askofu kweli unajiunga na watesi? Leo hata nimeshindwa kuja kanisani angalalau. Nadhani nahitaji majibu kama siyo kutoka kwako na nisipopata kutoka kwako itabdidi nimuulize Mungu!
Hao ni wasaka fursa hakuna watu wabinafsi kama hao akina katotoizMshahara wa dhambi ni mauti
sijawahi kuwa masikini kwa kipindi cha miaka 30 iliyopita
ubarikiweMimi hapa siyo mwana ccm na kamwe siwezi kuwa mwana ccm
😆😆😆😆Mbwa poor