Mzee wa "kula bata ikulu"Jionee mwenyewe
Anayo haki kufurahia jambo lolote zuri kwake au hata kumpongezamtu yoyote kama amefanya ajmbo jemaWote wenye makando kando kwenye shughuli zao lazima wanaunga mkono juhudi
Unajuaje Kama alitubu?Huyu si alisema jiwe atubu
Wacha aunge mkonoAnayo haki kufurahia jambo lolote zuri kwake au hata kumpongezamtu yoyote kama amefanya ajmbo jema
Hata mimi namuunga mkono. Wadhani yale mamifuko ilokutwa kwake ya fedha ambazo hazijahesabiwa atarudishiwa asipoimba pambio?? Acheni mtu wa watu Kakobe amepitia mengi. Waswahili wana kamsemo; Ukiwashindwa basi ungana nao
pole sana mkuuMimi ni muumini wa fgbf Jana askofu ameniabisha na kunifedhehesha sana.kimsingi sikulala.askofu kweli unajiunga na watesi? Leo hata nimeshindwa kuja kanisani angalalau. Nadhani nahitaji
majibu kama siyo kutoka kwako na nisipopata kutoka kwako itabdidi nimuulize Mungu!
Ukiwa mpigaji magumashi ili ulindwe awamu hii lzm usupport upande wa kjaniNitajie kiongozi mmoja tu wa dini asiye mwanaccm
Mch. Msigwa. Ahahahah!Nitajie kiongozi mmoja tu wa dini asiye mwanaccm
Mch. Msigwa. Ahahahah!Nitajie kiongozi mmoja tu wa dini asiye mwanaccm
Forgiven!Huyu si alisema jiwe atubu
Hamna lolote wanaogopa kutekwa.Watumishi wa Mungu wameanza kukimbilia kwa Magufuli,
wameona njia sahihi kushirikiana na kiongozi bora na mzalendo
Kakobe sasa yuko kundi moja na LusindeUpuuzi mtupu. Waafrika sijui lini tutabadilika na kuacha unafiki
Hawa walaghai wa kiimani huwa wanapataje hadhi ya uaskofu?