Kama spika Ni Ndugai unategemea wabubge wawe na akili za namna gani?hivi mbona wabunge wamekuwa wapum bavu hivi. wananchi wanashida majinboni wao wanaongea upuuzi mi ndio maana huwa sipigi kura
Kama spika Ni Ndugai unategemea wabubge wawe na akili za namna gani?hivi mbona wabunge wamekuwa wapum bavu hivi. wananchi wanashida majinboni wao wanaongea upuuzi mi ndio maana huwa sipigi kura
Alienda msibani kama muombolezaji wakati angeenda kwa kazi hiyo sasa hivi Tanzania ingekuwa kwenye finessed boo of records.Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Shindwa pepo! Kama kuna uwezekano aendelee kufa tu huko kuzimu, afe kila siku shetani yuleHivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Hivi kuna Mkristo mwenye akili timamu anayeweza kuamini kwamba Gwajima ana uwezo wa kufufua mtu?!Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Je Gwajiboy ana uwezo huo?kama alivyodai basi na afufue wapendwa wetu Hasa wenye chini miaka 70 sio kujificha.Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Wakristo wapi hao?. Wafu wanafufuka, vipofu wanaona, na viwete wanaweza kutembea kwa jina la YESU pekee. Hayo afanyayo Gwajima sio kwa nguvu zake, uwezo wake, bali kwa mamlaka kuu za Yehova amashia mzee wa siku nyingi ambao wakristo wote wenye kuamini katika Yesu tunaweza kufanya sio hilo tu bali zaidi ya hayo Yesu aliyofanya.Sio wakristo semangwajima , wakristo wanacho amini ni kwamba hakuba binadamu mwenye uwezo wa kufufua wafu
Huyo anachoweza ni kujitafunia kondoo wake, kueneza fitna,uzushi,uzandiki na majungu.gwajima ni tapeli aliyekubuhu hawezi kufufua hata mende.
Majungu ni kumsema mtu juu ya kitu ambacho hajakisema. Sasa kwa Gwajima, ni yeye mwenyewe ambaye husema kwamba anafufua wafu, majungu gani hapo? Akanushe hilo ili watu wasiendelee kumhitaji awafufue wapendwa wetu. Nchi nzima imelia kwa kuondokewa na mpendwa wetu, lakini Gwajima hajataka kufanya ufufuo wake ili watu warudi kwenye furaha yao.ACT wazalendo wako kimajungu zaidi!
Ficha fuvu lako hilo ambalo unadai ndio limebeba akili zako. Wapi ambapo mbunge kamtaja Gwajima.Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Hotuba ya Rais Magufuli tena? Baraza la Idi la lini? Uwe unataja mwaka ili tujue unamuongelea Jiwe au hotuba ya Rais SSH.Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Ndiyo Gwajima anawafufua? Wakati wameitwa na Muumba wao? Mtu anaitwa na Muumba wake halafu mwanadamu anatwambia anaweza kumrudisha? Ili iwe nini?Waliokufa kiimani aka Kiroho
Gwajima ni tapeli kama matapali wengine wowote wale unao wafahamu , mwambie akamfufue jiwe .Wakristo wapi hao?. Wafu wanafufuka, vipofu wanaona, na viwete wanaweza kutembea kwa jina la YESU pekee. Hayo afanyayo Gwajima sio kwa nguvu zake, uwezo wake, bali kwa mamlaka kuu za Yehova amashia mzee wa siku nyingi ambao wakristo wote wenye kuamini katika Yesu tunaweza kufanya sio hilo tu bali zaidi ya hayo Yesu aliyofanya.
Mathayo:10:8
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Hakuna "nabii Wala mtume"wa sasa hv anayeweza kufufua watu,wote wezi na mataperi tu.Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Gwajiboy ni mwizi tu kama Ole Sabaya. Tofauti yao iko sehemu moja tu! Mmoja anatumia nguvu kwenye uporaji na mwingine anatumia akili.Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Neno kufa ni zaidi ya kutoka uhai... unaweza kufa macho yaani upofu, kufamoyo yaani kukata tamaa, kufa kiimani unahita deliverance to be born again, kwenda kwa muumba unamaanisha kufariki kuondokewa na uhai, sidhani kama anafufua wafu wa aina hiyo.Ndiyo Gwajima anawafufua? Wakati wameitwa na Muumba wao? Mtu anaitwa na Muumba wake halafu mwanadamu anatwambia anaweza kumrudisha? Ili iwe nini?
Wajinga ndiyo waliwao.
Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu