Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Wapi kamtaja gwajima hau unaweweseka?Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Huyo mbunge kama kweli kasema hivyo basi ni mpumbavu wa kiwango cha kimataifa.
Anafanyia utani masuala ya kifo wakati hajui ni lini moyo wake utasimama milele.
Ufufuo na uzima ina fanya kazi ya kufufua wasio na dhambi!!Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Hacha wafu wazikane, una taka kumzika mfu mwenzio?Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Duh hata kama angeweza lakini jiwe kwa uovu aliotenda huku duniani hata wawe manabii 1000 hawezi kufufuka hata kidogo; phuu! tema mate mbali!Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Hacha wafu wazikane, je ana leta utani na kifo au ana tukana wafu kwa kauli hii?Huyo mbunge kama kweli kasema hivyo basi ni mpumbavu wa kiwango cha kimataifa.
Anafanyia utani masuala ya kifo wakati hajui ni lini moyo wake utasimama milele.
Aitaka serikali kuongea na manabii wanaodai kufufua wafu ili wafufue wapendwa wetu?
Aisee!😭Ufufuo na uzima ina fanya kazi ya kufufua wasio na dhambi!!
Lkn jiwe alikuwa na dhambi nyingi hata hakukumbuka kutubu.
Wizi tena wa kibabe.
Uoneaji tu anatumbua maskini
wajeda anawaogopa basi walipe si walitumikia sirikali? Hkn.
Amewaonea sana kina kabendera na wenzake Mungu akamuonyesha.
Hakuwahi kumjua Mungu wa kweli.
Mchoyo hata kwa vitu vidogodogo tu.urais haukumtosha.
Mpayukaji hovyo.
Sura mbaya mweusiiiiiiiiiiioooooooo
Sasa ntu km huyu atafufuka kweli???
Malaika watakwambia usitutanie
Wacha roho mbaya mwambie nabii wako amfufuwe jiweSpika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Sio mfuasi ni msukule yaan huyu haumwambii chochote khs Gwaji boy,yeye gwaji ni zaidi ya wazaz wake,anamheshim anampenda gwaji kuliko hata wazaz wake ila ukimuuliza kwa nn hata hajui sbb,yaan tafsiri yake kichwani pako waziUnajua maana ya majungu? Utakuwa mfuasi wa gwajima wewe.
Duuh! Queen Esther ya kweli haya!Sio mfuasi ni msukule yaan huyu haumwambii chochote khs Gwaji boy,yeye gwaji ni zaidi ya wazaz wake,anamheshim anampenda gwaji kuliko hata wazaz wake ila ukimuuliza kwa nn hata hajui sbb,yaan tafsiri yake kichwani pako wazi
Hatari snMpumbavu ni huyo anayekejeli kifo wakati hajawahi kupewa na Mungu ratiba kamili ya kifo chake itakuwa vipi.
Alichofanya mbunge ndio kudemka kwenyewe.
Imani hiiimejaa ujinga.Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Ukitumwa wakiristo utaleta Gwaji boy? Tapeli tu kama matapeli mengineSpika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Hawa wabunge wengine waropokaji Walibebwa na Hayati Magufuli halafu wanamletea dhihaka. Ajabu sana. Waache kudemka sana. Wanamwaibisha RAIShivi mbona wabunge wamekuwa wapum bavu hivi. wananchi wanashida majinboni wao wanaongea upuuzi mi ndio maana huwa sipigi kura