Ni hatari kwa taifa Mtu wa Imani ya dini nyingine kulitumia bunge kuwananga viongozi wa dini nyingine
Mtu wa Imani ya dini nyingine kujinasibu kuwafunda viongozi wa dini nyingine ni tangazo la vita vya kidini, likemewe haraka sana kabla mambo hayajachafuka
Haya mambo tuliyasahau, Nani anayaleta? Anayaleta kwa maslai gani
Dini nyingine haitakubali
=====
Swali "Je serikali haioni sasa wakati umefika wa wale manabii ambao wanadai wanao uwezo wa kuwafufua waliokufa ili kukaa nao kwa karibu ili kuweza kuwafufua wapendwa wetu"- Khalifa Mohamed Issa
Jibu "Anaweza akatokea mtu akasema anaweza kufufua, akachukua pesa za watu na mtu akazikwa mwisho wa siku ni migogoro, tuko tayari kukaa nao hao manabii ili tuwaeleweshe kwamba mwenye uwezo wa kuondosha na kurejesha ni Mungu pekee"- Hamza Chilo, Naibu Waziri, @wizaramnn
Mtu wa Imani ya dini nyingine kujinasibu kuwafunda viongozi wa dini nyingine ni tangazo la vita vya kidini, likemewe haraka sana kabla mambo hayajachafuka
Haya mambo tuliyasahau, Nani anayaleta? Anayaleta kwa maslai gani
Dini nyingine haitakubali
=====
Swali "Je serikali haioni sasa wakati umefika wa wale manabii ambao wanadai wanao uwezo wa kuwafufua waliokufa ili kukaa nao kwa karibu ili kuweza kuwafufua wapendwa wetu"- Khalifa Mohamed Issa
Jibu "Anaweza akatokea mtu akasema anaweza kufufua, akachukua pesa za watu na mtu akazikwa mwisho wa siku ni migogoro, tuko tayari kukaa nao hao manabii ili tuwaeleweshe kwamba mwenye uwezo wa kuondosha na kurejesha ni Mungu pekee"- Hamza Chilo, Naibu Waziri, @wizaramnn