Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,648
Atakuwa kaona aibu snHahahahaha mzee wa maharage kapigwa dongo
Atakuwa kaona aibu snHahahahaha mzee wa maharage kapigwa dongo
Acha ujinga....Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Hana jeuri huyo.Hivi kweli kwa nini Gwajima asimfufue Jiwe wetu
Sio kimasufuria sufuria???.ACT wazalendo wako kimajungu zaidi!
Ufufuo na uzimaKimajungu wakati Gwajima mwenyewe anadai ana uwezo wa kufufua watu waliokufa!
Povu lanini wakati mtu katoa ushauri kuwa hawa manabii watusaidie kufufua wafu? Au hawawezi na kama hawawezi kwanini wanadanganya watu? I Ifike mahali tusifumbie macho mambo ya kijinga.Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
hamna cha udini pale, Gwajima alichemka tu - chanjo dunia nzima inachanja, US na ulaya wameanza kuchanja hadi watoto wadogo - leo hii anatokea mtu anatisha watu kwamba chanjo inaandika DNA ya mtu upya... eti yawezekana miaka ijayo asizaliwe mtu kikazaliwa kiumbe kingine - wakati yeye si mtaalam wa hayo mambo, ni lini alisomea genetics za viumbe ?Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Nadhani wanaofanya utani ni hao manabii wanatengeneza movie za kufufua watu wakati wanajuwa wazi kabisa hakuna kitu kama hicho. Au na wewe unaamini maiti inaweza kuombewa ikafufuka?Huyo mbunge kama kweli kasema hivyo basi ni mpumbavu wa kiwango cha kimataifa.
Anafanyia utani masuala ya kifo wakati hajui ni lini moyo wake utasimama milele.
Swali zuri sanaNani mpumbavu kati ya anayedai anaweza kufufua au anayetaka watu wafufuliwe?
Na wewe ukaaminiKimajungu wakati Gwajima mwenyewe anadai ana uwezo wa kufufua watu waliokufa!
Yap comradeSwali zuri sana
usichanganye mambo - wakrsito wanaamini ufufuo wa mwili siku ya mwisho ambapo Yesu Kristo atakaporudi tena- Hakuna mkristo anaamini kwamba mwanadamu anaweza kumfufua mwanadamu mwenzake never!! Hili la kufufua wafu lilifanyika na Yehova mwenyewe yaani Yesu Kristo tu alipokuwa akiishi duniani, hata wanafunzi wake wakati mwengine walishindwa kuponya au hata kutoa mapepo..hadi walimuuliza kwa nini yeye aweze na wao wanashidwa? kuna wakati mapepo yaliwagomea..Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao.
Kumbe wakristo mmnafufua wafu eeee?Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Akemee nini mkuu wakati Gwaji boy(porn-star) anajinadi anafufua wafu,utakua mfuasi wake wewe.Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
PumbaffHuyo mbunge kama kweli kasema hivyo basi ni mpumbavu wa kiwango cha kimataifa.
Anafanyia utani masuala ya kifo wakati hajui ni lini moyo wake utasimama milele.
hapo UDINI unauleta wewe, kwani Gwajima hajawahi sema ANAFUFUA?Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!
Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia Wakristo ktk imani kwani amesema kwenye kitabu ni Yesu anafufua na sio yeye binafsi.
NARUDIA TENA SPIKA AKEMEE HILI HARAKA KABLA HALIJATUGAWA KAMA TAIFA. KUMBUKA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE BARAZA LA IDDI! TUHESHIMIANE KWENYE HIZI DINI!