Askofu Gwajima alishamfuta Makonda kwenye medani za siasa na utawala, laana ile imezidi kumuandama

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Friends and our Enemies...

Nahapa ninamnukuu Askofu Gwajima.

''Siyo kwamba Makonda/Bashite hafai kwenye kila kitu la hasha, Makonda au Bashite ana vitu vizuri, ana ule uthubutu au udiriki ambao ni jambo zuri.

Lakini hajawa mature enough kuweza kusimamia mambo ya utawala, kama Mkuu wa Mkoa, kwahiyo nakuomba Tena Kwa heshima Mh Rais, nakuomba Mh Rais huyu ndugu yetu muhamishie kwenye mahala pengine,siyo kwenye mambo ya utawala kama haya,kwenye nafasi hiyo.

Mambo ya utawala yanaweza kumfanya atuchafue na akuchafue wewe mbele ya macho ya wananchi,na ukiendelea kumuacha ipo siku atafanya jambo Bashite huyu,utatoka Moshi watu wote tutashindwa kufungua macho.

Sasa inawezekana tukawa tumeongea mambo mengi sana, Leo Mimi Nampa HUKUMU SASA


View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=_io5j1AmWJ4SbD3x
 
Umeangalia matokeo? GT anaangalia chanzo. Lakini Je, unao uthubutu wa kumsema dada katika imani? Huyo ndio tatizo kwa sababu Gwajima alishamvua nguo nje ndani, uwezo wake ulishamvua nguo mapewa, na hafai kweli. Ajabu dada yako kamteua.

Sasa hapo tatizo la akili ndogo ni nani? Makonda asingeweza kukataa uteuzi hata kama anajijua ni chenga
 
Umeangalia matokeo? GT anaangalia chanzo. Lakini Je, unao uthubutu wa kumsema dada katika imani? Huyo ndio tatizo kwa sababu Gwajima alishamvua nguo nje ndani, na hafai kweli, ajabu dada yako kamteua.

Sasa hapo tatizo la akili ndogo ni nani? Makonda asingeweza kukataa uteuzi hata kama anajijua ni chenga
Hapo alifeli,amefeli,na akiendelea nae atazidi kufeli Hilo halina ubishi,Liko wazi,may be aliona ampe second chance but habebeki...
 
Friends and our Enemies...

Nahapa ninamnukuu Askofu Gwajima.

''Siyo kwamba Makonda/Bashite hafai kwenye kila kitu la hasha, Makonda au Bashite ana vitu vizuri, ana ule uthubutu au udiriki ambao ni jambo zuri.

Lakini hajawa mature enough kuweza kusimamia mambo ya utawala, kama Mkuu wa Mkoa, kwahiyo nakuomba Tena Kwa heshima Mh Rais, nakuomba Mh Rais huyu ndugu yetu muhamishie kwenye mahala pengine,siyo kwenye mambo ya utawala kama haya,kwenye nafasi hiyo.

Mambo ya utawala yanaweza kumfanya atuchafue na akuchafue wewe mbele ya macho ya wananchi,na ukiendelea kumuacha ipo siku atafanya jambo Bashite huyu,utatoka Moshi watu wote tutashindwa kufungua macho.

Sasa inawezekana tukawa tumeongea mambo mengi sana, Leo Mimi Nampa HUKUMU SASA


View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=_io5j1AmWJ4SbD3x

Hana mamlaka ya kumfuta mtu yoyote na Wala hawezi na Hana nguvu yoyote " Gwajiba hajawahi kufufua hata panya" nianeno yadogo wake ambaye ni wakili msomi
 
Back
Top Bottom